Unataka kumpa ajira ama ametaja nduguyo kwenye ufisadi?!!
Ni graduate wa mzumbe.over
Hana CV.
Hana CV.
Unataka kumpa ajira ama ametaja nduguyo kwenye ufisadi?!!
Kama umevutiwa na utendaji Utoh, sidhani kama cv yake itakidhi unachohitaji.
Acha kudanganya Utoh ametokea Nbaa kama mkurugenzi mkuu.Not over. Sir. Aliteuliwa kushika hiyo nafasi akitokea Mzumbe, ambapo alikuwa mwajiriwa...
Ludovic utoh ana ADCA ya IDM Mzumbe, CIMA ya Canada!! Aliwahi kufundisha Mzumbe (by then IDM) kwa miaka mingi tu na akina Blandina Nyoni. Alikuwa akifindisha Management Accounting na Financial Accounting. Baadae aliajiriwa NBAA na kufikia level ya CEO. Baada ya hapo akachaguliwa kama CAG!