CV ya Balozi Wilson Masilingi

Alipwaya pakubwa sana na nitakuonyesha kaeneo kadogo tu, pale alipoulizwa kuwa nchini Tanzania kuna subjects au citizens? Mbona hakujibu badala yake alijumauma! Angle nyingine ni pale anapoitetea mahakama kumnyima mtu dhamana kww makosa yanayodhaminika licha ya kuwa yeye ni mwanasheria. Kiukweli hakuwa size ya Lissu na kiuhalisia wanaowatuma wanaichora nchi ni bora wakubali na kuomba po!
 

TL mwenyewe alichachawa na kila wakati akimwita a very senior lawyer in Tanzania which means TL na misifasifa yake yote anakubali ni jr kwa mh Masilingi.
 
sasa kilichompeka kwenye mdahalo ni nini?? we unajua kabisa huna detais za shambukio nzima then unajipeleka kichwa kichwa ukaumbuke!!

Zile hoja hakuna mwana CCM yeyote anaweza kuzijibu; suala lile halina majibu kabisa.
 

Balozi wetu katika Taifa kubwa duniani na msomi wa sheria anashindwa kutofautisha kati ya Serikali na Taifa
 
mbona hard talk ya lissu hamkuizungumzia/wakati na yeye alipuyanga.
 
moja ya vitu ya mapungufu niliyoyaona kwake katika VOA part 2 ni kuwa ubalozi kagewa kishikaji tu - huyu jamaa siyo diplomatic kabisa!!
Pia kutetea uongo ni kazi kubwa sana.
 
TL mwenyewe alichachawa na kila wakati akimwita a very senior lawyer in Tanzania which means TL na misifasifa yake yote anakubali ni jr kwa mh Masilingi.

Huku naye balozi kila saa akichachawa kwa kumuita Lissu 'MY BROTHER LISSU'


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama hakuwa na majibu alienda kufanya nini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ka
Wengi wameshindwa kuwa na moyo aliokuwa nao Masilingi. Kwenda kubishana na Lissu kwenye chombo cha habari cha kimataifa, tena ughaibuni, kwa lugha ya kingereza, mtangazaji na mgeni mwalikwa mwenzio wote wako dhidi yako. Yataka moyo


Kama unazo point za kutosha si hoja, Hakuna Kazi ngumu kama kujibu ukweli
 
Lakini kuupotosha ukweli kuwa uwongo ni kazi ngumu Sana labda uwe na CV za shetani ndio unaweza ukafaulu kubadili ukweli ukawa uwongo, kwa kuwa shetani ni baba wa uwongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…