Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #21
@ mphamvu na ivuga embu vaeni gloves mje mzichape live jamvini atakayeshinda anamchukua @ cute jumla.
Mphavu ni mshika mapembe tu huyo ..mziki wangu hatauweza
@ mphamvu na ivuga embu vaeni gloves mje mzichape live jamvini atakayeshinda anamchukua @ cute jumla.
Cute cute cute pliz,mwezi mtukufu huu!
Tuonee huruma watoto wa wenzio.
Aisee!!!
@ mphamvu na ivuga embu vaeni gloves mje mzichape live jamvini atakayeshinda anamchukua @ cute jumla.
@Bishanag si upite zako mtu wangu
Ntaua, naogopa mada kesi.
Saint Ivugahalafu hii miguu ya ukweli nimwachie nani?
utamuua nani kwa sababu gani? sioni sababu ya kupigana na mshiko mapembe ..no need
Unataka niwe mke wa ngapi? mkeo ni rafiki yangu nimpendae sana nje ya JF na ndani. The cute girl, The secretary. Namuheshimu kuliko maelezo.Mbona unaongea kwa masikitiko? Kwani uko single weye no mme na bwana? Bishanga is veeeeeere much availabo.
Of koz hautapigana, utapigwa!
Huyo demu anakutumia tu halafu mwisho wa siku gari lazima aipaki CCM hapa.
kwanini uangalie kama uko mfungoni jamaniCute cute cute pliz,mwezi mtukufu huu!
Tuonee huruma watoto wa wenzio.