Sijui ni kuridhika,sijui ni uzembe tu? Hivi kuna customer care manager na analipwa mshahara kabisa..hii siyo fair.
Namba 0713 800800 na 100 zote hazina connection. Kama mmebadilisha namba si mseme au mko bize na ten percent za matangazo.
Hebu acheni ubabaishaji. Kilichomkuta ttcl si mnakijua? Haya endeleeni na dharau kwa wateja wenu.
Namba 0713 800800 na 100 zote hazina connection. Kama mmebadilisha namba si mseme au mko bize na ten percent za matangazo.
Hebu acheni ubabaishaji. Kilichomkuta ttcl si mnakijua? Haya endeleeni na dharau kwa wateja wenu.