CUF Z'bar yakubali uchaguzi kurudiwa

CUF Z'bar yakubali uchaguzi kurudiwa

Kama kuna mtu anategemea kuna mgombea atatangazwa mshindi kutokana na matokeo yaliyofutwa basi ana matatizo ya akili.

Kama Jecha ana mamlaka ya kufuta matokeo kikatiba na sababu alizozitoa zina mashiko then vyama washiriki walipaswa kusubiria tarehe ya marudio itangazwe na kama JECHA HANA HAYO MAMLAKA KIKATIBA AMA WANAUSHAHIDI SABABU ZAKE HAZINA MASHIKO WANGEMBURUZA MAHAKAMANI.

Hata hayo maridhiano ya CCM na CUF ni kupoteza muda tu unless otherwise ZEC ndo ingekuwa inayaongoza.

Ni suala la muda tu lakini uchaguzi utarudiwa hata kama CUF watasusa.
 
Mm nilijua tu cku zote ucje mwekea dhamana sef na cuf yake utafungwa sasa cjui uchaguzi unarudiwa kwa tume ipi yangu macho ya ngoswe mwachie ngoswe
 
magazeti kama changamoto, mkakati, tazama, jamvi la habari, jambo leo kwa nini pia na yenyewe yasifungiwe? maana nayacheki kwa muda mrefu sana yanaandika habari za uzushi na za uchonganishi lakini kwa kuwa ni pro-ccm yanaachwa, kuna gazeti moja kati ya hayo lilishaandika 'LOWASSA ALETA MAKOMANDOO WA KI ISRAELI ILI KULETA VITA ENDAPO ATASHINDWA'
wala hawakulikemea
 
Hakuna mjinga atakayekubali kurudia uchaguzi chini ya Jecha

Yeyote atakayekubali kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar atakuwa anahalalisha ubaki wa HAKI ya Wazanzibar uliofanywa na ccm.
 
12509898_1025795400818251_1127659517877347240_n.jpg
Gazeti la kufungia vitumbua @work
 
Kama kuna mtu anategemea kuna mgombea atatangazwa mshindi kutokana na matokeo yaliyofutwa basi ana matatizo ya akili.

Kama Jecha ana mamlaka ya kufuta matokeo kikatiba na sababu alizozitoa zina mashiko then vyama washiriki walipaswa kusubiria tarehe ya marudio itangazwe na kama JECHA HANA HAYO MAMLAKA KIKATIBA AMA WANAUSHAHIDI SABABU ZAKE HAZINA MASHIKO WANGEMBURUZA MAHAKAMANI.

Hata hayo maridhiano ya CCM na CUF ni kupoteza muda tu unless otherwise ZEC ndo ingekuwa inayaongoza.

Ni suala la muda tu lakini uchaguzi utarudiwa hata kama CUF watasusa.

Leo Hiii me ningelipenda nchi inayo jiita kisiwa cha amani na democrasia kiyatekeleze yale kiyasemayo kikatiba na kisheria, Utakuwa mtu wa ajabu leo kumshambulia Nkhurunzinza kwa mambo anayo yafanya Burundi as wel as Kagame in Rwanda without let him Behind Mr Museven From Uganda. Sasa Leo Magufuri Utaongea nini au utasema nini kwenye mkutano wa EAC au wabunge wa Tanzania ndani ya EAC mtaongea nini wakati nchi yenu imekiuka mising ya democrasia na haki za kikatiba? Ndio maaana JPM nae napata utata wake wakati wa kampeni zake alisema Changua Magufuli au alijua fika zanzibar kitanuka au alijua CCM kuna mlolongo wa matatizo yasiya tatulika na mengi ni ya maslahi binafsi as if Hawatokufa ndani ya dunia hii na vizazi vingine kuendelea kuishi.
 
Maalim Seif hata siku moja hawezi kukubali kurudiwa kwa uchaguzi.
 
Sentensi hii haijakaa vizuri member mwenzangu sijui unatoka Kikuyu.Maana ya sentensi hii ni kwamba mjanja atakubali kurudia uchaguzi chini ya Jecha,lakini mjinga hatakubali.Sasa kweli hivyo ndivyo ulivyokuwa unataka kusema?Nadhani ungesema hakuna mjanja atakayekubali kurudia uchaguzi chini ya Jecha.
Hakuna mjinga atakayekubali kurudia uchaguzi chini ya Jecha
 
Gazeti lenyewe ni lakufungia vitumbua.
 
Back
Top Bottom