CUF Z'bar yakubali uchaguzi kurudiwa

CUF Z'bar yakubali uchaguzi kurudiwa

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
12509898_1025795400818251_1127659517877347240_n.jpg
 
Hizi taarifa huwa zinatolewa kila siku na kina Jecha lkn baadae unasikia mazungumzo tanaendelea.
CCM wanapenda kuwaaminisha watu ujinga wao ili kupima upepo umekaaje.

Ngoja tumsikie Maalim Hizbu wa nchi ya Pemba kama CCM wanavyomuita
 
Hilo gazeti lifungiwe kwani kwa uchochezi huo inaweza kuleta uvunjifu wa amani.
Nape upo?
Kukubali kurudia uchaguzi ni uvunjifu Wa amani.??


Hivi nyinyi Nyumbu akili zenu zipo matakoni au
 
Hilo gazeti lifungiwe kwani kwa uchochezi huo inaweza kuleta uvunjifu wa amani. Nape upo?
Nape yupo "makini". Kama gazeti na bandiko lake limesema uongo tena kwa masilahi ya chama fulani Nape atalifungia tu. Ngoje tuone kama kuna tamko lingine la kuthibitisha habari hiyo!
 
Hilo Gazeti Limefanyiwa Editing
Nimeliona Live limeandikwa :

Zanzibar wakubali Kurudia Uchaguzi ""!!
Hakuna Neno Cuf pale ,,
 
Hakuna habari hapa jamani, hiki ni kichwa tu cha habari, mweka mada unataka kipi kijadiliwe?
 
Kukubali kurudia uchaguzi ni uvunjifu Wa amani.??


Hivi nyinyi Nyumbu akili zenu zipo matakoni au
Wewe usiache nikupe maneno mazito bado asubuhi. Habari kama hiyo ingekuwa ya kweli ingeweza kuandikwa na kigazeti cha aina hiyo pekee?
Utakuwa mpu.bavu kuamini ujinga kama huo
 
Nape yupo "makini". Kama gazeti na bandiko lake limesema uongo tena kwa masilahi ya chama fulani Nape atalifungia tu. Ngoje tuone kama kuna tamko lingine la kuthibitisha habari hiyo!

Ati nape ana umakini upiii? kwamfano yeye yuko serikalini ndio mlalamikaji kuhusu gazeti la mawio ukisha lalama huko kwenye magazeti na media zingine unaamua kufungia gazeti hivi kweli inakuingia akilini kusema nape yu makini katika hilo? kama gazeti lina makosa kwanini usilipeleke mahakamani ? sheria si zipo jamani. Serikali ina sema hapa kazi tuuu sio kunyanyasa watu kutumia nguvu ya serikali huu ni utawala wa sheria sasa kwanini baadhi ya viongozi wawe juu ya sheria ?Hapo ingekuwa gazeti mawio au mwananchi lemesema Shein kakubali uchaguzi usirudiwe na atampa kiti cha urais Seif duuuuuh hatareeeeeee patashika nguo kuchanika utaona start tv, Azam, ITV, Channel ten BBC ,TBC1, Clouds Tv,na radio zote kwenye Press conference kisa gazeti limesema uongo khaaaaaa, viongozi wetu wanapenda tumia Media na media zinapenda tumika vibaya hii ni shauri ya kubebana kutolipa kodi kihalali kutosimama kwenye misingi ya kazi na sheria zake. Ndio kinacho tusumbua sie watanzania.

Bila kutoka hapo au kuipa Media muhimili wake na uhuru wake wa kutoa habari basi tutakuwa watumwa ndani ya serikali zetu na wanao tutawala kwa dhamana ya kura zetu
 
Back
Top Bottom