ONG'WASAMBA-Busega
Member
- May 20, 2014
- 31
- 8
Chama cha CUF kimepita mtaani kikitangaza kuwa kutakuwa na mkutano wa UKAWW leo Jumapili saa 10.
Nimefika mapema nikakuta bendera za CUF na maneno haki yakitawala pale.
Naomba nisaidiwe kama ni sahihi kutumia UKAWA kuitisha mkutano.
Sina nia mbaya ila nataka kujua makumbaliano ya UKAWA yanaruhusu kuitisha mkutano wa chama kutumia kupitia UKAWA.
Nawasilisha waungwana.
Tuchangie kwa maneno ya busara.
Nimefika mapema nikakuta bendera za CUF na maneno haki yakitawala pale.
Naomba nisaidiwe kama ni sahihi kutumia UKAWA kuitisha mkutano.
Sina nia mbaya ila nataka kujua makumbaliano ya UKAWA yanaruhusu kuitisha mkutano wa chama kutumia kupitia UKAWA.
Nawasilisha waungwana.
Tuchangie kwa maneno ya busara.