CUF yataka Eddy Riyami aachiliwe haraka

kapime akili ndiyo jibu sahihi kwako!
unauwezo finyu sana wa kuona mambo
Mkuu asante ntakwenda, ila kabla ya kwenda mm heb jarb nawe kujifikiria kama unapaswa kupima akili au laa? Maana cjaona hapo uhusika wa ccm,

Kwa mtazamo wangu mkuu kapime kwanza kisha njoo na majib, nami ntakwenda... ila cjapata mtu ambae anaweza kuhusianisha ccm na hlo tukio... Kapime akili mkubwa kunamahali unahisia mbaya....
 
fanyeni mpango hamasisheni wananchi wa zanzibar wasishiriki uchaguzi haramu...
 
yani me nvokusoma tu nikashindwa kukutofautisha na NGUCHIRO
 
Serikali ya Zanzibar waacheni CUF kwa amani...ushindi mmewapokonya jela mnawaswekea nini!?
 
Kutoona ndiyo tatizo la ubongo ulilonalo,mimi sina sababu ya kupima.kwakuwa "ratna"yangu iko safi na [emoji102]
 
kwanza tunashukuru kwa taarifa hui, maana wiki nzima ta Jana kulikuwa na uongo humu Eddy Kakamatwa na haijulikani alipo, Kulikuwa na Matako ya Eddy aachiwe Mara moja, kwa Maelezo yako Eddy kaingia Lockup Jana. Sasa tuelezeni sababu ya kukamatwa kwake kwa mujibu wa mahojiano
 
Hawatashiriki mkuu
itakuwa ni jambo la busara... kwanza sijaelewa ni wasimamizi gani ambao wamekubali kusimamia huo uchaguzi feki.... je kama hakuna wasimamizi utafanyikaje ? lkn kama ni kucheza mduara hiyo haina noma na wacheze tu
 

kawaida anaehitaji kwenda kupima akili huwa hajijui ...ila huyu aliekwambia ukapime akili hakukosea...
 
Inanikumbusha Stive Biko alivyokamatwa na kaburu same story...yataisha tuu hayo...
 
itakuwa ni jambo la busara... kwanza sijaelewa ni wasimamizi gani ambao wamekubali kusimamia huo uchaguzi feki.... je kama hakuna wasimamizi utafanyikaje ? lkn kama ni kucheza mduara hiyo haina noma na wacheze tu
Eu wamekata kuleta wasimamizi kwenye uchaguzi wa kichina
 
Una maansha uchaguzi ulifutwa kwa kufuata taratibu?
au ndo muhemko wa kisiasa humu JF?
Kwani Seif amepata wapi mamlaka ya kujitangaza kuwa ameshinda au amekuwa mgombea wakati huo huo mwenyekiti wa ZEC yaani Seif ni hybrid uh? kama Jecha hajafuata utaratibu nani amefuata hizo taratibu ? uchaguzi ni tarehe 20 ndugu, sidhani kama kuna other alternative zaidi ya kushiriki tu kikamilifu baada kuendekeza hisia.
 
mnatafuta mteremko... habebwi mtu safari hii... mtajibeba wenyewe na nguchirrro zenu
 
CUF ........huku siyo kwenu ondokeni hatuwataki.Kama muna ubavu fanyeni chokochoko ndiyo mutajuwa maharagwe ni futari au mboga....Machotara ZNZ siyo kwenu.
 
mnatafuta mteremko... habebwi mtu safari hii... mtajibeba wenyewe na nguchirrro zenu
Kwani vipi umesikia kuna kiwete anataka msaada wa kubwebwa? mimi nadhani muache upofu kwanza ili muweze kudeal na fact, course hamjua nini mnataka watu nyie, mara mnajitoa mara mnakwenda mahakani mara mnataka mazungumzo mwisho mtataka kuvuliwa chup...
 
we unavojiona hapo unadhani unaweza kutembea bila kupakatwaaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…