Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
Kumekucha sasa si wakati wakulala
ile ndoto ya cuf ya kuikamata ikulu ya zanzibar zazidi kupotea baada ya vigogo wake wawili kurudi ccm chama cha kijani chenye mvuto na ushindi wa kishindo
na si wengine aliekua mbunge wa cuf na kiongozi wa juu fatma magimbi na kiongozi mwengine wa juu ndugu juma othman na wao wenyewe kueleza wako wengi wanawafata na wamekiri juhudi za ccm kuleta maendeleo
hapa mama magimbi akikabidhiwa nondo ya ccm na mheshimiwa jk
na hapa mkuu juma othman akisalimisha kadi ya cuf na kupokea ccm
kwa ufupi tanzania ni ccm tu iwe bara au visiwani
ile ndoto ya cuf ya kuikamata ikulu ya zanzibar zazidi kupotea baada ya vigogo wake wawili kurudi ccm chama cha kijani chenye mvuto na ushindi wa kishindo
na si wengine aliekua mbunge wa cuf na kiongozi wa juu fatma magimbi na kiongozi mwengine wa juu ndugu juma othman na wao wenyewe kueleza wako wengi wanawafata na wamekiri juhudi za ccm kuleta maendeleo
hapa mama magimbi akikabidhiwa nondo ya ccm na mheshimiwa jk
na hapa mkuu juma othman akisalimisha kadi ya cuf na kupokea ccm
kwa ufupi tanzania ni ccm tu iwe bara au visiwani