Hamna jipya, same shit by the same syndicate HR.
CUF ni taasisi hata Lipumba na Seif wakiondoka au wakifa CUF itakuwepo..
Watu walisema hayo hayo wakati Nyerere anaondoka kwenye uongozi na alipokufa, lakini maisha yanasonga mbele!
Jana kulikuwa na mkutano mkubwa wa CUF Temeke, kauli mbiu ilikuwa, "waache waende, Bahari haikai na uchafu"
Haitokuwa matanga itakua Ni dua tu ya kumbukumbu ya miaka kadhaa baada ya kifo chake....hitma!haya sasa tuonane 2015 kwa ajili ya matanga