- Thread starter
- #21
Vipi CHADEMA nayo ni kwa ajili ya WACHAGA na WAKRISTO pekee???!!!
Acha kutoka mapovu.Vita yenu wenyewe CDM inahusikaje?
Vipi CHADEMA nayo ni kwa ajili ya WACHAGA na WAKRISTO pekee???!!!
Ndugu,
Ni nani mwenye jina la bandia 'be specific' specify!
Ndio tatizo la kuwa blind-crowd! With CUF yes, with CHADEMA no! What a twisted thinking!
Ndio tatizo la kuwa blind-crowd! With CUF yes, with CHADEMA no! What a twisted thinking!
Kauli za wafa maji siku zote ni kutapatapa.Ndio maana Jussa alisema wazi cuf ni kwa ajili ya wazanzibar na waislam pekee
Kweli nimeamini huwezi kuwa unaiba kila siku ipo siku utashikwa tu, leo umejikweka wazi na siasa zako ya udini.
Mkuu nimekuheshimu siku mbili hizi lakini naona umeanza kurudia asili yako.Nilimsikiliza kwa masikio yangu Jussa mlimani tv akasema cuf ilishindwa uzini kwa sababu ya wakristo wengi na wabara wengi.Sasa mpuuzi hapo ni nani kati yangu na Jussa? Mkuu Ritz usiwe kama Jussa mtu anayetaka kugawa taifa hili kwa misingi ya udini na ukabila
Mkuu, naomba usiniheshimu kama kutofautiana misimamo ni tatizo kwako na kuanza kuleta maneno ya kitoto eti uliniheshimu siku mbili. Unachekesha sana.
Rest in everlasting fire CUF. Hiki ni chama cha kuzimu.
Cuf Ni taasisi kwny makaratasi na ndio mana ikapata usajili kisheria, lakini katika hali halisi hakuna taasisi pale, iko kwa ajili ya wachache kwa personal interest baaasi.Maisha yatasonga mbele hata siku cuf ikifa pia, huwezi kufananisha mazingira aliyotoka Nyerere katika uongozi na huu uozo unaoendelea ndani ya cuf sasa, kwa taarifa yako Kama unavyofahamu 2015 haitokuwepo hiyo cuf unayoizungumza. Huwezi kufukuza viongozi waandamizi wa chama na tizama hili la mtatiro, from no where anaropoka tu ooh! Hata hao waliojitoa mlishapanga kuwatimua kwny kikao kijacho..madudu gani haya?Hamna jipya, same shit by the same syndicate HR.CUF ni taasisi hata Lipumba na Seif wakiondoka au wakifa CUF itakuwepo..Watu walisema hayo hayo wakati Nyerere anaondoka kwenye uongozi na alipokufa, lakini maisha yanasonga mbele!Jana kulikuwa na mkutano mkubwa wa CUF Temeke, kauli mbiu ilikuwa, "waache waende, Bahari haikai na uchafu"
Vipi CHADEMA nayo ni kwa ajili ya WACHAGA na WAKRISTO pekee???!!!
Real name: Sunday Charles (Julius Mtatiro)Nasikia hata jina analotumia ni la bandia...!!
Kwa mujibu wa post ya Molemo, wewe ni mpuuzi.........amefafanua, sasa mbona hujaijibu hiyo post?Mkuu, naomba usiniheshimu kama kutofautiana misimamo ni tatizo kwako na kuanza kuleta maneno ya kitoto eti uliniheshimu siku mbili. Unachekesha sana.
Mtatiro, huoni kuwa unathiobitisha maneno kuwa chama kinaendeshwa kiimla? Yaani mmeshapabnga kuwafukuza wakati hata kesi yao haijaanza kusikilizwa?
Na ile Sigida vipi!!??....Real name: Sunday Charles (Julius Mtatiro)