Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,752
- 830,870
Lipumba ndio Muasisi wa Ukawa Na Hata Jina hilo amelitohoa Lipumba kwa mujibu wa Maalim Seif Na Mbowe
Siasa ya Chadema Haina Mtabiri
Usishangae Prof Lipumba akawa ndio Mgombea wa Chadema 2020 akawa anaitwa 'Rais wa Mioyo yetu'
Bado wako kwenye right trackSisiemu wanachanga karata huku mikono yao ikiwa na maji, mwisho wanashindwa kusoma kama wamelamba dume au garasa.. mpaka wakija kufunua ndo wanagundua.. Kwenye hili la cuf, sisiemu wamelamba garasa aisee.. Naamini wenyewe wanajuta huko, wangejua wangeiacha kesi iendelee kulega lega..
Ukawa ni mbeleko ya Chadema, japo siipendi CCM lakini pia Chadema ni wa hovyo sana
Story za uzwazwa tuu hizo!Lipumba ndio Muasisi wa Ukawa Na Hata Jina hilo amelitohoa Lipumba kwa mujibu wa Maalim Seif Na Mbowe
Siasa ya Chadema Haina Mtabiri
Usishangae Prof Lipumba akawa ndio Mgombea wa Chadema 2020 akawa anaitwa 'Rais wa Mioyo yetu'
Lini kikao cha UKAWA?Wakaungane na CCM!
Kikifa anahamia kwa Washkaji zake ACT-Wazalendo Au ChademaSawa keshajitoea ila ni vizuri ili chama linakufa kifo cha mende miguu juu
Lipumba alisha iua CUF kitambo wanaishi kwa matumaini uchu wa madaraka husababisha migogoro ''time will tell''Kwani hiyo cuf ipo?
In God we trust
Walikuwa wanatuchuklia poa kwasa wataonja joto la jiwe ''Politicians are taking us for granted''Hivi hawa jamaa wana tuchukuliaje wa Tanzania!!??
Du kweli Le profeseli kamchagua katibu mwenye kariba kama zake!!Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa, amesema wao kama chama cha Wananchi wameshajitoa kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi 'UKAWA' kwa madai upo hoi na hauna msaada kwao.
Akizungumza na EATV Khalifa amesema kwamba huo Umoja wa Katiba ya Wananchi kwa upande wao wanaona kama haupo, hivyo wao wameshajitoa huko.
"Ukawa wenyewe upo hoi bin taabani. Haupo mimi sidhani kama upo" amesema.
kama ukawa UKO taaban sijui cuf ikoje
Jr![]()
CUF Lipumba ni mali ya msajili wa vyama vya Siasa na jaji wa mahakama aliyewasaidia kuipora wasingeweza kuwa huko maana hawana wanachama tena kila mtu kawakimbia tayariKwani hiyo cuf ipo?
In God we trust
Naona kazi aliyotumwa kaianzaKatibu Mkuu mpya wa Chama Cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa, amesema wao kama chama cha Wananchi wameshajitoa kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi 'UKAWA' kwa madai upo hoi na hauna msaada kwao.
Akizungumza na EATV Khalifa amesema kwamba huo Umoja wa Katiba ya Wananchi kwa upande wao wanaona kama haupo, hivyo wao wameshajitoa huko.
"Ukawa wenyewe upo hoi bin taabani. Haupo mimi sidhani kama upo" amesema.
Cuf Lipumba haiko Ukawa siku zote mara baada ya kuwa na Cuf mbili.