Salimhamad
Member
- Feb 21, 2011
- 30
- 7
Ha ha ha, Hivi Chadema alau ina Tawi lilo hai ndani ya Zanzibar? CUF ina vitu vya Ubuge mpaka Tanganyika na ina madiwani, sasa kipi kinapaswa kufungiwa na Tendwa?
Usianze kuropokwa kama hujamsikia Juma Duni alicho zungumza. Subiri Juma tano kipidi kitarushwa tena kwa marudio. Mulidhani Juma Duni, Maalim Seif na watu wa CUF wote watakuwa mabubu na kutafuna maneno kisa wamo serikalini? Hapana kabisa kabisa! Tumekubaliana kuwa na maridhiano kwasababu zote ni ndugu hakuna haja ya kuuwana tena. Zaidi tumeipunguzia mzigo serikali ya Tanganyika ya kuleta vifaa vya kijeshi kama vile Zanzibar kuna vita. Sasa hamuoni hiyo faida moja kwa serikali ya Tanganyika? Au raha zenu muje mtupige ikisha musingiziye mambo ya 1953-1964?
Duni kashasema na Maalim Seif kashanguruma Zanzibar. Kauli ni moja, Zanzibar kwanza, tusdhalilike kwa sababu tuna fadhiliwa ardhi huko Taganyika. Utu wako ndio muhimu kwa hiyo na sisi utu wetu ndio kwanza ikisha ndio ufahari wa mali.
Usianze kuropokwa kama hujamsikia Juma Duni alicho zungumza. Subiri Juma tano kipidi kitarushwa tena kwa marudio. Mulidhani Juma Duni, Maalim Seif na watu wa CUF wote watakuwa mabubu na kutafuna maneno kisa wamo serikalini? Hapana kabisa kabisa! Tumekubaliana kuwa na maridhiano kwasababu zote ni ndugu hakuna haja ya kuuwana tena. Zaidi tumeipunguzia mzigo serikali ya Tanganyika ya kuleta vifaa vya kijeshi kama vile Zanzibar kuna vita. Sasa hamuoni hiyo faida moja kwa serikali ya Tanganyika? Au raha zenu muje mtupige ikisha musingiziye mambo ya 1953-1964?
Duni kashasema na Maalim Seif kashanguruma Zanzibar. Kauli ni moja, Zanzibar kwanza, tusdhalilike kwa sababu tuna fadhiliwa ardhi huko Taganyika. Utu wako ndio muhimu kwa hiyo na sisi utu wetu ndio kwanza ikisha ndio ufahari wa mali.