Dubo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 322
- 17
CHAMA Cha Wananchi (CUF) jana kiliwazidi ujanja polisi waliokuwa wakidhibiti maandamano yao baada ya kufanikiwa kuyafanya na kuwasilisha rasimu yao sifuri ya katiba kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria. Polisi hao walikuwa wanazuia maandamano hayo kutekeleza agizo la Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova aliyolitoa juzi kuzuia maandamano hayo kwa kile alichoeleza kuwa ni batili.
Chanzo: CUF wawazidi ujanja polisi, waandamana
My take: Hawa ndio wanamageuzi wa ukweli sio wengine wao na viongozi wao wamekalia kupiga porojo tu hapa JF.
Chanzo: CUF wawazidi ujanja polisi, waandamana
My take: Hawa ndio wanamageuzi wa ukweli sio wengine wao na viongozi wao wamekalia kupiga porojo tu hapa JF.