kugeza ruksa tu!Chama cha wananchi cuf kimemwandikia barua rais kuomba kukutana nae kutoa maoni kuhusu muswada na mchakato wa katiba mpya. Hiyo ndio taarifa iliyopatikana jioni hii ikulu
Sasa hawa ni fujo tu. Si waliiuafiki Muswada Bungeni? Wanataka wamwambie nini tena?
Pengine wanataka kumwambia JK asiwasikilize CDM ni wakorofi tu. nadhani ni hiyo tu!
CUF wazidi kudidimia kweli! sasa hii tena nini, na hali waliuafiki muswada bungeni 100% na kuwalaani CDM? Kipi kipya wanacho tena?
Sasa hawa ni fujo tu. Si waliiuafiki Muswada Bungeni? Wanataka wamwambie nini tena?
Pengine wanataka kumwambia JK asiwasikilize CDM ni wakorofi tu. nadhani ni hiyo tu!