ujuha gan? Kweli is it logical kwa mke kumchungulia mumewe bafuni? Kama cio wivu unaoukataa basi ni uharo!Wivu upi? ujuha huu.
Ona taahira mwingine huyuujuha gan? Kweli is it logical kwa mke kumchungulia mumewe bafuni? Kama cio wivu unaoukataa basi ni uharo!
Mkuu CUF nacho ni chama cha siasa kama CDM nao wana haki ya kuonana na Mkuu wa Nchi kama walivyofanya CHADEMA. TLP, UPDP, DP, UDP, Demokrasia Makini, NCCR Mageuzi, n.k nao wana haki ya kuandika barua na kutaka kuonana na Mkuu wa nchi kama ilivyofanya CHADEMA. Na hata CCM pia inaweza kutaka kuonana na Mkuu wa Nchi huko Ikulu ili kueleza yaliyo moyoni kwa kuwa nacho ni Chama cha siasa. Kuonana na Rais Ikulu si haki ya chama kimoja tu!
Wanaenda kufanya nini huko? wenzao wameambulia juice tu. Au ndo mkakati bei nafuu walioona unaweza kupunguza safari za nje za JK? akitoka caf nafikiri ataenda mzee wa TLP. Lakini mzuka wa kupanda ndege mzee ukimpanda nafikiri atawaacha sebleni wakikodoa macho.
Chama cha wananchi cuf kimemwandikia barua rais kuomba kukutana nae kutoa maoni kuhusu muswada na mchakato wa katiba mpya. Hiyo ndio taarifa iliyopatikana jioni hii ikulu