Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Viongozi wa CUFwako live Mlimani tv. Moja kati ya mambo mazito waliyosema dhidi ya Chadema ni
1. Chadema kwenda kujaribu kumshawishi Hamad Rashid Hamad kujiunga na Chadema ili apewe ugombea mwenza wa Urais.
2. Chadema hawakujiandaa kugombea Urais, kwani hata Dr. Slaa hakujua kwamba anahitajika kugombea Urais. Yeye alikuwa tayari anajiandaa kugombea ubunge Karatu
1. Chadema kwenda kujaribu kumshawishi Hamad Rashid Hamad kujiunga na Chadema ili apewe ugombea mwenza wa Urais.
2. Chadema hawakujiandaa kugombea Urais, kwani hata Dr. Slaa hakujua kwamba anahitajika kugombea Urais. Yeye alikuwa tayari anajiandaa kugombea ubunge Karatu