Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Wana JF Prof. Ibrahimu Lipumba ametangaza kuwa kesho hakutakuwa na maandamo ya chama kama ilivyotangazwa na Julius Mtatiro baada ya kuombwa na waziri mkuu Mizengo Pinda. Hivyo amewataka wanachama na mashabiki kutojitokeza kesho kwenye maandamano na wale ambao hawatakuwa na taarifa ya kufuta maandamano basi wasibugudhiwe bali waalimishe.
Source TBCI 20:00 Taarifa ya Habari.
Source TBCI 20:00 Taarifa ya Habari.