Najua wanajamii mnaaminishwa kwamba CUF ni wabinafsi jambo ambalo sio sahihi. Katika UKAWA cuf ndicho chama pekee chenye kukubalika pande zote za muungano. Kimantiki ni cuf pekee wenye uwezo wa kupata Mgombea na makamu wake katika muungano.
Chadema wapo bara hawatapata mgombea mwenza zanzibar. wanalazimisha cuf wamtoe mwanachama hai mmoja aingie chadema.. why tufanye hivi wakati cut tarari anafiti vigezo?
Mnasema mmetuachia zanzibar ... hii sio kweli, Zanzibar ukiondoa magamba tunaobaki ni cuf.... so kutubania bara ni sawa na kuturudisha nyuma tubaki kisiwani tu...
HAKIIII SAWAAAA
Chadema wapo bara hawatapata mgombea mwenza zanzibar. wanalazimisha cuf wamtoe mwanachama hai mmoja aingie chadema.. why tufanye hivi wakati cut tarari anafiti vigezo?
Mnasema mmetuachia zanzibar ... hii sio kweli, Zanzibar ukiondoa magamba tunaobaki ni cuf.... so kutubania bara ni sawa na kuturudisha nyuma tubaki kisiwani tu...
HAKIIII SAWAAAA