CUF si chama cha promotion kama vile bidhaa mpya

Utingo

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
10,270
8,031
CUF si chama cha promotion kama vile bidhaa mpya.

"Ni chama ambacho kimejikita vema hadi vijijini... hata katika uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya CCM ni CUF. Ni chama ambacho mgombea urais alifahamika mapema, siyo chama ambacho bado siku 72 kwa uchaguzi mgombea urais hajulikani, na kubaki kudhani mara mgombea mwenza atakuwa Hamad Rashid; sijui nani; hatuko hivyo."

Mkuu umesahau
- Pia ni chama pekee ambacho mgombea urais na ambaye ni mwenyekiti wake ni mwanasiasa pekee nchini ambaye hata kijijini kwake (ilulanguru-tabora) hakubaliki.
-Ni chama ambacho mgombea urais wake na mwenyekiti wake amegombea mara nyingi kiti kimoja tu cha uraisi kuliko binadamu yeyote duniani na mara zote ameshindwa.
-Ni chama ambacho mgombea urais wake amegeuza kugombea urais ndiyo profession yake.
-Ni chama kinachokubalika pemba tu, ambako wakazi wake hawafiki hata laki tano, na kinajifanya ni maarufu.
-Ni chama ambacho japo kina umaarufu sana tz kwa mujibu wa mashabiki wake, hakina kiti hata kimoja cha ubunge wa kuchaguliwa tanzania bara, unguja (???)
-Ni chama pekee chenye mwonekana wa kidini Tanzania
 
CUF si chama cha promotion kama vile bidhaa mpya.

"Ni chama ambacho kimejikita vema hadi vijijini... hata katika uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya CCM ni CUF. Ni chama ambacho mgombea urais alifahamika mapema, siyo chama ambacho bado siku 72 kwa uchaguzi mgombea urais hajulikani, na kubaki kudhani mara mgombea mwenza atakuwa Hamad Rashid; sijui nani; hatuko hivyo."

mmetangulia na baiskeli ya miti...! tutakutana kitonga.
 
Mkuu umesahau
- Pia ni chama pekee ambacho mgombea urais na ambaye ni mwenyekiti wake ni mwanasiasa pekee nchini ambaye hata kijijini kwake (ilulanguru-tabora) hakubaliki.
-Ni chama ambacho mgombea urais wake na mwenyekiti wake amegombea mara nyingi kiti kimoja tu cha uraisi kuliko binadamu yeyote duniani na mara zote ameshindwa.
-Ni chama ambacho mgombea urais wake amegeuza kugombea urais ndiyo profession yake.
-Ni chama kinachokubalika pemba tu, ambako wakazi wake hawafiki hata laki tano, na kinajifanya ni maarufu.
-Ni chama ambacho japo kina umaarufu sana tz kwa mujibu wa mashabiki wake, hakina kiti hata kimoja cha ubunge wa kuchaguliwa tanzania bara, unguja (???)
-Ni chama pekee chenye mwonekana wa kidini Tanzania
Nadhani Dubo alisahau sifa hizo.
Pia ni chama ambacho hutumia kauli mbiu za vitisho 'Jino kwa jino'
 
mkuu umesahau
- pia ni chama pekee ambacho mgombea urais na ambaye ni mwenyekiti wake ni mwanasiasa pekee nchini ambaye hata kijijini kwake (ilulanguru-tabora) hakubaliki.
-ni chama ambacho mgombea urais wake na mwenyekiti wake amegombea mara nyingi kiti kimoja tu cha uraisi kuliko binadamu yeyote duniani na mara zote ameshindwa.
-ni chama ambacho mgombea urais wake amegeuza kugombea urais ndiyo profession yake.
-ni chama kinachokubalika pemba tu, ambako wakazi wake hawafiki hata laki tano, na kinajifanya ni maarufu.
-ni chama ambacho japo kina umaarufu sana tz kwa mujibu wa mashabiki wake, hakina kiti hata kimoja cha ubunge wa kuchaguliwa tanzania bara, unguja (???)
-ni chama pekee chenye mwonekana wa kidini tanzania
rubbish!
 
Back
Top Bottom