CUF: Ndugai awaombe radhi wapinzani

CUF: Ndugai awaombe radhi wapinzani

Ndugai ni mtovu mkubwa wa nidhamu,na ana upeo mdogo sana,kiufupi ni kilaza,alitia aibu sana kwenye kipima joto ITV alikua na Lisu,ndugai alipwaya sana.

ha haaaa, mkuu hatuko huko yalishapita hayo, mada ni nyingine kabisa, kama vipi endelea na viroba.
 
2015 mizengo Pinda atakuwa anaongoza kambi rasmi ya upinzani lakini tutamuheshimu na hatutalipiza visasi.

Tatizo mnafikiri kura zinapigwa na members wa jamiiforums, zinapigwa na watanzania wanaoshuhudia upuuzi wanaoufanya wapinzani bungeni.
 
yap,,huo ndio ukweli,,,sasa,,,ikiwa wapo wanaopingana na kauli hio ya mtatiro,,wanapaswa kupitia katiba ipoje,,,

kwa hiyo wewe umeipitia au umemeza mamneno ya Mtatiro kama yalivyo? huu ndiyo ukilaza tunaousema siku zote.
 
CCM hawajui kama "this fire now is out of control, So they build their world in great confusion
To force on us the devil's illusion.
But the stone that the builder refuse
Shall be the head cornerstone,
And no matter what game they play,
Eh, we got something they could never take away;
We got something they could never take away: " Bob Marley

CHADEMA wasanii mmejaa sana, manweza kuanzisha bendi yenu, na DJ mnaye Mwenyekiti wenu, wewe utakuwa mtu wa mistari.
 
ndugai ni zaidi ya zuzu.Angalia miguu yake aka avue viatu ndo utajua uzuzu wake uko wapi.Serious sick.

Ukweli ni kwamba viongozi wengi wa ccm wameoza roho zao kama miili ilvyooza kwa maradhi. Ni vile tu wanajitundika makoti(suti) ndiyo inafanya waonekane binadamu, lakini afya zao choka mbaya! Kisaikojia, mtu akishakuwa na gonjwa dumu akili yake haiwezi kubakia kwenye normal state, inaathiriwa na inferiority complex(ions)!!
 
CCM 's worst nightmare....kuungana kwa wapinzani....
 
Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo hatukulaumu Rais MPya wa mazuzu. Ona hata hujui kusoma badala ya kuandika "fursa" umeandika "fulsa" au umeandikiwa nini?

Huyo bila shaka nimiongoni mwa walioathirika na elimu ya mulugo, mtu huwezi kuwa sawa ukajiita rais mpya, rais mpya wa kundi gani? labda la vicheche.
 
kwa hiyo wewe umeipitia au umemeza mamneno ya Mtatiro kama yalivyo? huu ndiyo ukilaza tunaousema siku zote.

mkuu hapa jf watu wanaoingia kwa siku moja ni zaidi ya milioni mbili kwa siku na karibu 80% ni wapinzani , wako vyama ambavyo si ccm. Jaribu kuangalia michango na pia angalie ambao si member ni wengi zaidi ya 2000% ya members. kama unabisha nitakuwekea data hapa
 
Tumuombe radhi mpiga disko wa bilcanas ile nafasi inamfaa Zito Hana jazba Kama Mbowe
 
CCM hawajui kama "this fire now is out of control, So they build their world in great confusion
To force on us the devil's illusion.
But the stone that the builder refuse
Shall be the head cornerstone,
And no matter what game they play,
Eh, we got something they could never take away;
We got something they could never take away: " Bob Marley

Hii lugha inawamaliza akina rais mpya na ifweero. They can not pick anything. Hawa ni janga katika wasomi. Ukitaka kuthibitisha soma post zao. These guys are semi-illiterate if not illiterate.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ni ukweli ulio wazi kuwa kuna udhaifu mkubwa sana katika kiti sha spika.
 
Kambi ipi? manake bungeni kuna kambi mbili za upinzani.

Upinzani ni upinzani iwe rasmi au vyovuote vile. However, kwa ujinga na dharau za Ndugai hawezi kufanya hivyo. Siyo mwuungwana kiasi hicho.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Sina shaka kuwa na huyu ni jasusi la CDM. kuf hakumfai
 
Ni Adui wa Wananchi yeye anaona kapata Sifa kwa CCM lakini Wananchi tumemdharau sana yeye na Chama chake... Sugu aje ampige tu.....
 
Back
Top Bottom