Naibu sipika anakosa busara, kamati ishakaa na serikali na kuchakachua maoni ya wananchi, hivyo hakukuwa na sababu ya kumzuia KUB kutoa maoni yake manake hata ingekuwaje kura za ccm ni nyingi. Hivyo Ndugai alitaka kuudhalilisha upinzani kwa kutumia madaraka yake.