Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu leo CUF wametinga Bukoba mjini katika kampeni yao ya "Zinduka".
Leo jioni Kiongozi wao Lipumba atakuwa akihutubia kwenye viwanja maarufu vya Uhuru.
Naona wamepita msafara wao muda mfupi tu uliopita ukiwa mdogo sana kiasi ambacho haijazoeleka hapa ukilinganisha na nyakati zilizopita walipokuwa wakitikisa mji kwa maandamano makubwa.
Ngoja tuisubiri hiyo jioni tuone watakuwa na yapi!
Msafara wa kafu Leo.
Msafara wa kafu kwa mara ya mwisho siku zilizopita.
Picha zingine unaweza kuangalia thread zilizopita!
Leo jioni Kiongozi wao Lipumba atakuwa akihutubia kwenye viwanja maarufu vya Uhuru.
Naona wamepita msafara wao muda mfupi tu uliopita ukiwa mdogo sana kiasi ambacho haijazoeleka hapa ukilinganisha na nyakati zilizopita walipokuwa wakitikisa mji kwa maandamano makubwa.
Ngoja tuisubiri hiyo jioni tuone watakuwa na yapi!
Msafara wa kafu Leo.
Msafara wa kafu kwa mara ya mwisho siku zilizopita.
Picha zingine unaweza kuangalia thread zilizopita!