CUF na unafiki na uzandiki wa kisiasa

getrusa

JF-Expert Member
Aug 16, 2013
2,150
1,812
CUF wanashiriki uchaguzi wa mbunge Zanzibar. Je, mwenyekiti wa Tume ndugu Jecha amebadilishwa nafasi yake? Amestaafu.!? Tume ya uchaguzi imebadirishwa? Au ni ileile? Kama kila kitu ni kilekile na mwanzo hawakuiamini tume leo wanaiamini??

Kama walisusia uchaguzi ule ukawa na manufaa na faida kwao kwanini wasisusie na huu.!! Wanatufanya watanzania mabwege. Kila la kheri wanazanzibar
 
CUF walisusia chaguzi zote za ZEC- inayoongozwa na jecha,

hawakususia chaguzi za NEC.


Upooo???
 
Cuf wanashiriki uchaguzi wa mbunge zanzibar
Je, mwenyekiti wa Tume ndugu Jecha amebadirishwa nafasi yake? Amestaafu.!? Tume ya uchaguzi imebadirishwa? Au ni ileile? Kama kila kitu ni kilekile na mwanzo hawakuiamini tume leo wanaiamini??
Kama walisusia uchaguzi ule ukawa na manufaa na faida kwao kwanini wasisusie na huu.!! Wanatufanya watanzania mabwege. Kila la kheri wanzanzibar
Kajipange wewe! Jua kuna tume 2 zec, na nec uchaguzi huu ni nec upo?
 
Back
Top Bottom