CUF na serikali damu damu


Nadhani huna point leta hoja zinazopinga huo ukweli wa docta badala ya kuja na interest zako usifikiri wote tunanufaika na ufisadi wenu.Wewe badala ya kuomba ushahidi unaleta ngonjera watu tuna hasira na wezi wa mali ya umma,kwa nini cuf wasitumie ruzuku kufanya hayo unayoyataka
 

Hii ni halali kwako na si matumizi ufisadi wa mali ya umma:

 
Slaa mwenyewe mwizi tu, au mpaka tuntemeke aje tena atoe madudu ya huyu mzee ndio mkubali?
 
  1. Kasma gani inayotumika kwa matumizi hayo ya fedha?
  2. Je fedha hizi kwa ajili ya vyama vya CCM na CUF zinapitishwa na bunge au baraza la wawakilishi
 
Maalim Seif hana tofauti na Mbowe, Seif anatumia fedha za serikali kupitia cheo chake cha umakamu Zanzibar na Mbowe anatumia kwa cheo chake cha KOB. Ngoma droo wote wachumia tumbo.

utofauti upo tena mkubwa kama huuoni pole sana
 
Asili yake ni Iran huyo sio Oman, sio kila anaeonekana mweupe ni mwarabu jamani, zenji kuna wahindi,wairan na warabu,waomani walisha ondoka huko.

mi nashangaa hawa watu weupe wanataka kujifanya kisiwa chao,wakati historia inaonyesha kabisa mwanzo walikuwa wakiishi makabila mchanganyiko ya watu weusi baada ya kutawaliwa ndo mchanganyiko wa damu ya watu weusi na weupe ikaanzia hapo,lakini leo watu wenye rangi nyeupe wanajiona kwao ukiuliza mi mzaliwa wa kisiwani,acheni ujinga nyie,sana sana kitakachowatokea baadae mtajuta muungano unawasitili sana ila hamjijui
 

Hii inasikisha sana,CDM endeleeni kukaza buti hadi kieleweki 2015
 
 
 
Kwa mtindo huo wa CUF ya Maalim Seif kujineemesha vinono kiasi hicho, ndugu zetu Visiwani wanao kula sababu ya kuchukia MUUNGANO WA CCM NA CUF kula mabua pamoja mgongoni mwao walalahoi wenzetu hawa.
 
Kumbe Maalimu Seif ana njaa utafikiri anatokea somalia hata kwenye uchomaji wa makanisa hakutoa tamko kama CUF alisubiri mume wao CCM aongee
 
hii inaonyesha kiasi gani Cuf ni damu moja na ccm- ngoja wafe wote kisiasa
 
Mkuu tuanikie vitu ili wale wa chuya 2015. Huu ni wizi na ufisadi wa hali ya juu. Maalimu jamani tangu zamani mimi nilijua anatafuta ulaji tu. He is the product of GAMBAZ

Umeona Brazilian eeh!!
na ndo maana kaamua kugombana na Hamad Rashid baada ya kuona jamaa naleta threat kwenye kitumbua chake. RIP cuf na zengwe lenu, 2015 ni karibu sna
 
Slaa mwenyewe mwizi tu, au mpaka tuntemeke aje tena atoe madudu ya huyu mzee ndio mkubali?

Uzuri wa sisimademu a.k.a.k sisimagamba hawana historia ya kukamata wala kufunga wezi, maana tunajua sehemu ya wezi ni segerea na ukonga, sasa subiri chandimu ichukue dola ndo utajua kama silaha ni mwizi au jambazi au silaha kweli ya kivita (B52)
 

jst cool down men! Unaposema mitanganyika una maana gan! Kumbuka umeme unatoka wapi? Ukipata jibu basi tulia maana tukiamua tutaenda tu pale galanos tanga kuchomoa nyaya alafu tuone hata hii JF mtaipatia wapi!
 
jst cool down men! Unaposema mitanganyika una maana gan! Kumbuka umeme unatoka wapi? Ukipata jibu basi tulia maana tukiamua tutaenda tu pale galanos tanga kuchomoa nyaya alafu tuone hata hii JF mtaipatia wapi!

Umeme unakuja bure huku znz?

Mkuu wangu tatizo kuna historia wakuu wameificha, umeme ilikuwa ni makubaliano kati ya Nyerere na Karume na kuna historia ndefu sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…