CUF na NCCR jihadharini sana na CHADEMA

CUF na NCCR jihadharini sana na CHADEMA

Obugwa Izoba

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
10,466
Reaction score
11,641
Naomba niwataadhalishe cuf na nccr kujihadhali sana na chadema. Kuna haja ya vyama hv viwili kuangalia upya mahusiano yao upya na cdm maana cdm ni chama kilichobobea ktk siasa za kususia, kejeli na vurugu.
Cuf na nccr ndo vyama ambavyo vilikuwa vimebaki vya upinzan vnafanya siasa za upinzani kistaarabu lakn muungano wao na cdm utawacost. Nawaasa watafakari haraka na wachukue hatua vingnevyo watajijingea pcha mbaya kwa watanzania na ndo utakuwa mwsho wa upinzan tanzania
 
Mkuu usipate shida siyo mara ya kwanza kuungana kwa hawa watu subiri mweleka wake utaona tu.
 
Naomba niwataadhalishe cuf na nccr kujihadhali sana na chadema. Kuna haja ya vyama hv viwili kuangalia upya mahustiano yao upya na cdm maana cdm ni chama kilichobobea ktk siasa za kususia, kejeli
Cuf na nccr ndo vyama ambavyo vilikuwa vimebaki vya upinzan vnafanya siasa za upinzani kistaarabu lakn muungano wao na cdm utawacost. Nawaasa watafakari haraka na wachukue hatua vingnevyo watajijingea pcha mbaya kwa watanzania na ndo utakuwa mwsho wa upinzan tanzania





Acha uongo we -------- kweli, kipindi vyama hivi vilikuwa havina dhamira ya kuungana wapambe kama wewe mulirarama eti wapinzani wasipoungana hawawezi kuitoa CCM madarakani, leo wameamua kuja Pamoja kama mulivyotaka huko nyuma hooo mara cuf mara Nccr jiangalieni, basi baana nadiriki kukubali msemo huu kwamba inchi hii imelaniwa.Naanza kukubali neno vigeugeu inchi wakiongozwa na rais wao kama kigeu geu number moja basi na watu wake ni hivo hivo.
 
Kibano kimekolea ee..! hivi bado mnalipwa buku saba ileile au mmeongezwa kipindi hiki cha BMK.!??
 
Acha uongo we -------- kweli, kipindi vyama hivi vilikuwa havina dhamira ya kuungana wapambe kama wewe mulirarama eti wapinzani wasipoungana hawawezi kuitoa CCM madarakani, leo wameamua kuja Pamoja kama mulivyotaka huko nyuma hooo mara cuf mara Nccr jiangalieni, basi baana nadiriki kukubali msemo huu kwamba inchi hii imelaniwa.Naanza kukubali neno vigeugeu inchi wakiongozwa na rais wao kama kigeu geu number moja basi na watu wake ni hivo hivo.

huu sio muungano, cdm ni wabinafs mda si mref watasababsha muungano huu kufa
 
Ccm matumbo moto. Wameshaona kuwa upepo sio mzur ndo maana wanajidai kusema tinawaonea Huruma Cuf na Nccr. Na bado mpaka kieleweke.
 
Kwani CUF na Mbatia sio CCM B?
Au leo hii tumesahau makamanda hili?
Eyes on hands off -Muda ndo utakuja na majibu muafaka
 
Mlifikiri watatengana milele sito? Sasa wameungana.

Mlifikiri hawataelewana milele sasa wanaelewana.

Kilichobaki kwenu sasa ni majungu na umbea tu,hamna lolote la maana.

Hizi ni siasa za,kutaka kuwatenganisha tu,na hamta fanikiwa milele
 
Mlifikiri watatengana milele sito? Sasa wameungana.

Mlifikiri hawataelewana milele sasa wanaelewana.

Kilichobaki kwenu sasa ni majungu na umbea tu,hamna lolote la maana.

Hizi ni siasa za,kutaka kuwatenganisha tu,na hamta fanikiwa milele

muungano wa mda tu huu,CDM itausambaratsha soon
 
Back
Top Bottom