Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
Naomba niwataadhalishe cuf na nccr kujihadhali sana na chadema. Kuna haja ya vyama hv viwili kuangalia upya mahusiano yao upya na cdm maana cdm ni chama kilichobobea ktk siasa za kususia, kejeli na vurugu.
Cuf na nccr ndo vyama ambavyo vilikuwa vimebaki vya upinzan vnafanya siasa za upinzani kistaarabu lakn muungano wao na cdm utawacost. Nawaasa watafakari haraka na wachukue hatua vingnevyo watajijingea pcha mbaya kwa watanzania na ndo utakuwa mwsho wa upinzan tanzania
Cuf na nccr ndo vyama ambavyo vilikuwa vimebaki vya upinzan vnafanya siasa za upinzani kistaarabu lakn muungano wao na cdm utawacost. Nawaasa watafakari haraka na wachukue hatua vingnevyo watajijingea pcha mbaya kwa watanzania na ndo utakuwa mwsho wa upinzan tanzania