Kuna bwana mmoja wa Cuf Znz nilikuwa nazungumza nae amenifungua akili. Nilimuuliza kwanini CUF kimetungusha hivyo na je CUF ni chama cha wazanzibari tu mbona wanasema maslahi ya Znz yamelindwa kwenye mswada wa katiba wakati chama kipo hadi bara? Aliniambia Znz walichofanya ni kuitega serikali ili wao znz wapewe meno kwenye mchakato. Wakishapewa meno watashinikiza mambo yao mengi yapite. Na ni kweli znz lazima kwenye bunge waunge mkono theluthi 2 na kura ya maoni asillimia 50. Mambo ambayo watayataka walalazimisha yaingizwe na kutishia kuipinga katiba kama hayatazingatiwa ni kama yafuatayo:
(i) Kupunguza mambo ya muungano yabaki kama yalivyokuwa wakati wa muungano
(ii) Kuundwa kwa serikali tatu
(iii) Znz kuruhusiwa kujiunga na jumuiya za kimataifa kama OIC, EAC nk kama nchi
(iv) Rais wa znz kuwa makamu wa kwanza wa rais
(v) Urais wa muungano kuwa wa mzunguko nk
(vi) Wabara waingie znz kwa passport
Nadhani wabunge wa CCM waliokuwa wanashangilia bungeni hawaku foresee hayo sasa wao wameshika mpini sisi makali. Hakuna katiba bila wao kukubali na pia wana haki ya kuamua mambo ya bara yawe vipi. kwa mfano jamaa anasema watashinikiza kuwa na mahakama ya kadhi bara na kwa kuwa wanamamlaka ya kutuamulia bara tuwe na mambo gani katiba haitapita bila wao kuamua. lets wait and see
(i) Kupunguza mambo ya muungano yabaki kama yalivyokuwa wakati wa muungano
(ii) Kuundwa kwa serikali tatu
(iii) Znz kuruhusiwa kujiunga na jumuiya za kimataifa kama OIC, EAC nk kama nchi
(iv) Rais wa znz kuwa makamu wa kwanza wa rais
(v) Urais wa muungano kuwa wa mzunguko nk
(vi) Wabara waingie znz kwa passport
Nadhani wabunge wa CCM waliokuwa wanashangilia bungeni hawaku foresee hayo sasa wao wameshika mpini sisi makali. Hakuna katiba bila wao kukubali na pia wana haki ya kuamua mambo ya bara yawe vipi. kwa mfano jamaa anasema watashinikiza kuwa na mahakama ya kadhi bara na kwa kuwa wanamamlaka ya kutuamulia bara tuwe na mambo gani katiba haitapita bila wao kuamua. lets wait and see