CUF Mtwara na Lindi: Mbowe asiingilie mambo yetu

CUF Mtwara na Lindi: Mbowe asiingilie mambo yetu

NAWASHUKURU SANA WATU WA KUSINI KWA KUTAMBUA KIINI CHA MGOGORO WA CUF.CDM NDIO KIRUSI WANATAKA CUF IWE CHINI YA KIBARAKA WAO MTATIRO ILI WAWEZE KUIUA KIRAHISI.MBELE YA LIPUMBA HAWAWEZI .WANACUF WENYE MAPENZI MEMA WALIONE HILI.
Wewe hutumii hata akili zaidi ya upuuzi. Kwani asingejirudisha profesa uchwara mgogoro huu ungeibuka? Wee vipi?
 
Chedema isiingilie lakini Ccm ruksa kuingilia mgogoro wao ! akili za wala panya buana...
Ulishawahi kusikia ccm ikitoa tamko lolote la mgogoro wa cuf? zaidi ya chadema wanaohangaika
 
Swali zuri sana hili
Wajumbe wa Kamati Kuu CUF Kanda ya Kusini mikoa ya Lindi na Mtwara, wamemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kutoingilia mgogoro wa chama hicho kwani wakati CHADEMA ikiwa na migogoro CUF huwa hawaingilii.

Video hii hapa.

My take: Mbowe acha Lipumba ajenge CUF yake wewe kweny CDM huingiliwi.


Natamani kuona Vyama vya UKAWA vinaungana na kuwa chama kikuu kimoja cha upinzani.Tatizo ubinafsi umezidi,kutojielewa e.t.c
 
NAWASHUKURU SANA WATU WA KUSINI KWA KUTAMBUA KIINI CHA MGOGORO WA CUF.CDM NDIO KIRUSI WANATAKA CUF IWE CHINI YA KIBARAKA WAO MTATIRO ILI WAWEZE KUIUA KIRAHISI.MBELE YA LIPUMBA HAWAWEZI .WANACUF WENYE MAPENZI MEMA WALIONE HILI.
LB7 Work
 
HAHAHAH mbowe na maalim seif wamepewa za uso hahaha
 
USINIHURUMIE FUNGUA AKILI YAKO




Profesa Ibrahim Lipumba ajiuzulu nyazifa zote CUF na UKAWA, abaki mwanachama wa kawaida
Habari Zinazoendana
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Peacock leo jijini Dar es salaam wakati akitangaza kujuuzulu nyazifa zake zote katika chama hicho na kubaki mwanachama wa kawaida kutokana kile alichokiita dhamira inamsuta.




MBOWE ANAHUSIKA NA NINI HAPO?
 
Back
Top Bottom