CUF Mtwara na Lindi: Mbowe asiingilie mambo yetu

CUF Mtwara na Lindi: Mbowe asiingilie mambo yetu

Yawezekana wana vichwa vigumu ambavyo kumuelewa Mbowe ni vigumu bora wangejikita kuwekeza kwenye zao la korosho kuliko kutetea Yuda eskarioti
Hivi unaweza kutuambia MBOWE anamkataa Lipumba ndani ya CUF kama nani?
 
Siku wakija kujua kuwa hawamuungi mkono prof Lipumba bali CCM watajuta sana.Wakija kutambua kuwa Lipumba ameletwa sasa kwa sababu CUF yao imeishitaki serikali ya CCM UN ndio wataomba kufungiwa jiwe shingoni na kutupwa baharini.
 
Siku wakija kujua kuwa hawamuungi mkono prof Lipumba bali CCM watajuta sana.Wakija kutambua kuwa Lipumba ameletwa sasa kwa sababu CUF yao imeishitaki serikali ya CCM UN ndio wataomba kufungiwa jiwe shingoni na kutupwa baharini.
Hahaaaa.
 
Hivi unaweza kutuambia MBOWE anamkataa Lipumba ndani ya CUF kama nani?
Ungejiuliza kwanza kwanini Lipumba aliwakataa CUF na kwenda kupiga katerero Rwanda kipindi cha uchaguzi halafu anarudi wenzie wamemaliza kazi
 
Hao ni mamluki na vibaraka wa Lipumba. Wanachama wa CUF katika mikoa ya Lindi na Mtwara hakuna anayemuunga mkono Lipumba. Wabunge wa CUF katika mikoa hiyo walionywa na wanachama wao kwamba atakayethubutu kumuunga mkono Lipumba asitarajie kurudi bungeni ifikapo 2020. Wabunge wote, Mh. Katani Ahmad Katani wa Tandahimba, Mh. Hamidu Bobali wa Mchinga, Mh. Bwege wa Kilwa Kusini, Mh. Vedasto Ngombale wa Kilwa Kaskazini, wote kwa pamoja wamezingatia maonyo ya wapiga kura wao isipokuwa Mh. Maftaha Nachuma wa Mtwara Mjini, huyu amejikatia tamaa ya kurejea bungeni 2020 kutokana na kutoungwa mkono na wanachama walio wengi wa jimboni kwake, kaamua kujilipua kwa kumuunga mkono Lipumba.
 
Hao ni mamluki na vibaraka wa Lipumba. Wanachama wa CUF katika mikoa ya Lindi na Mtwara hakuna anayemuunga mkono Lipumba. Wabunge wa CUF katika mikoa hiyo walionywa na wanachama wao kwamba atakayethubutu kumuunga mkono Lipumba asitarajie kurudi bungeni ifikapo 2020. Wabunge wote, Mh. Katani Ahmad Katani wa Tandahimba, Mh. Hamidu Bobali wa Mchinga, Mh. Bwege wa Kilwa Kusini, Mh. Vedasto Ngombale wa Kilwa Kaskazini, wote kwa pamoja wamezingatia maonyo ya wapiga kura wao isipokuwa Mh. Maftaha Nachuma wa Mtwara Mjini, huyu amejikatia tamaa ya kurejea bungeni 2020 kutokana na kutoungwa mkono na wanachama walio wengi wa jimboni kwake, kaamua kujilipua kwa kumuunga mkono Lipumba.
WAPIGA KURA WANGAPI WALIKATAZA NA KIKAO KILIFANYIKA WAPI TUMIA AKILI KIDOGO
 
Chedema isiingilie lakini Ccm ruksa kuingilia mgogoro wao ! akili za wala panya buana...
 
Mbowe kihelehele sana, kwani yeye wakati Anauza chama chake aliingiliwa na nani?
 
Back
Top Bottom