CUF - KUONGOZA NCHI 2015 ni ushindi mkuu.

CUF - KUONGOZA NCHI 2015 ni ushindi mkuu.

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Amini usiamini CUF ni mshindi wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 2015 ,kiasi kilichobakia ni kama mwaka na nusu kuanzia kampeni za Uchaguzi ambazo kuna baadhi ya vyama vimeshaanza tokea sasa ikiwemo CCM.

WaTanzania walio wengi wameonesha hisia za hali ya juu kukipa Chama cha CUF ushindi mkuu ambao watabiri wa mambo wanasema haujawahi kutokea.Chama Cha CUF ambacho kwa sasa kimetulia kama hakipo lakini uhakika nilioupata ni kuwa mambo yao yalikuwa yanafanyika ndani ya handaki ,na hatua waliyofikia itawashangaza adui CCM na walokole wengine .

CUF itatinga kwenye uchaguzi mkuu pale tu tume ya uchaguzi itakapobadilishwa na kuwa huru yenye kushirikisha asasi nyengine na kukubalika na asilimia kubwa ya washiriki wa Uchaguzi (vyama vyote vya siasa).Vinginevyo haitoshiriki uchaguzi na hapo ndipo itakapojulikana kama embe ni tunda.

CUF bado inahazina ya wapiga kura wengi kuliko chama kingine chochote kile ,huo ndio ukweli ,tuachane na longolongo za mitandaoni ambazo hazina mshiko. Pia mingi ya mikutano ambayo baadhi ya vyama vimekuwa vinajidai ni kuonyesha nguvu zake kwa wingi wa wananchi wanaohudhuria,vyama hivyo utavikuta vina mipasho mingi tu ,habari ambazo zinakuwa vivutio kwa wahudhuriaji na sio kuwa wao ni wanachama au wanaimani na hicho chama ,habari ambazo hazina tofauti na za magazetini zile zenye vichwa vya habari vinavyovutia wanunuzi,kumbuka tu anae nunua gazet huwa hana share na gazeti wala si memba wa gazeti hilo ,ndio sawa na wahudhuria katika mikutano ya vyama.

CUF ni Chama ngangari hapa Tz ,hilo wengi wenu mnalielewa ni Chama ambacho kinayaweza mapambano ya kisiasa na kimeonyesha nguvu zake na kuitaarifu Dunia ya kuwa kama wakiamua basi wanaweza ,mnakumbuka walichokifanya Zanzibar (Unguja na pia Pemba ,waulizeni polisi watawapa habari na zaidi kilichowapata hao polisi kule Pemba.Ni kuyakataa yanayofanywa na Tume ya Uchaguzi, Hayo ni moja yaliyofanyiwa tathmini kwa upande wa Tanganyika na imeonyesha wazi yanaweza kufanyika tena yakashinda yale ya Zanzibar ,

Yanayofanywa na vyama vingine kwa hivi sasa yote yanatizamwa na kuratibiwa vizuri sana bila ya kuacha kuyafanyia kazi na huko ndiko kulikowapa ushujaa CUF kuwa bado wanachama wao wapo hai na siku filimbi ikipulizwa basi wote wataitikia wito na kuelekeza majeshi katika njia ya ushindi mkuu.

Na kwa wale wanaobeza basi wajue wameshakosea kwani ushindi uko huku ,na hili wanasema ni basi la mwisho ,dandia upande wowote ue utafika kule unakotaka kupelekwa.
 
Yap. Nakubaliana nawe 100% hasa tukitolea mfano wa mtaji wa IGUNGA inaonyesha ni jinsi gani CUF bado inamtaji mkubwa.
 
kazeni buti manake wapinzani mbadala (CDM) wamekalia kusutana tu kwenye mitandao!
 
Ha ha ha Ukimuona mtu kapanda gari bovu, Basi ujue ana mzigo kwenye hilo gari'
 
Ha ha ha Ukimuona mtu kapanda gari bovu, Basi ujue ana mzigo kwenye hilo gari'

Wakijipanga vyema wanaweza,maana cuf sio wapiga domo nami huwa napenda kuwasikiliza sana hawa viongozi wa cuf coz hakuna mropokaji hata mmoja nadha V4C itakubalika zaidi.
 
Amini usiamini CUF ni mshindi wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 2015 ,kiasi kilichobakia ni kama mwaka na nusu kuanzia kampeni za Uchaguzi ambazo kuna baadhi ya vyama vimeshaanza tokea sasa ikiwemo CCM.

WaTanzania walio wengi wameonesha hisia za hali ya juu kukipa Chama cha CUF ushindi mkuu ambao watabiri wa mambo wanasema haujawahi kutokea.Chama Cha CUF ambacho kwa sasa kimetulia kama hakipo lakini uhakika nilioupata ni kuwa mambo yao yalikuwa yanafanyika ndani ya handaki ,na hatua waliyofikia itawashangaza adui CCM na walokole wengine .

CUF itatinga kwenye uchaguzi mkuu pale tu tume ya uchaguzi itakapobadilishwa na kuwa huru yenye kushirikisha asasi nyengine na kukubalika na asilimia kubwa ya washiriki wa Uchaguzi (vyama vyote vya siasa).Vinginevyo haitoshiriki uchaguzi na hapo ndipo itakapojulikana kama embe ni tunda.

CUF bado inahazina ya wapiga kura wengi kuliko chama kingine chochote kile ,huo ndio ukweli ,tuachane na longolongo za mitandaoni ambazo hazina mshiko. Pia mingi ya mikutano ambayo baadhi ya vyama vimekuwa vinajidai ni kuonyesha nguvu zake kwa wingi wa wananchi wanaohudhuria,vyama hivyo utavikuta vina mipasho mingi tu ,habari ambazo zinakuwa vivutio kwa wahudhuriaji na sio kuwa wao ni wanachama au wanaimani na hicho chama ,habari ambazo hazina tofauti na za magazetini zile zenye vichwa vya habari vinavyovutia wanunuzi,kumbuka tu anae nunua gazet huwa hana share na gazeti wala si memba wa gazeti hilo ,ndio sawa na wahudhuria katika mikutano ya vyama.

CUF ni Chama ngangari hapa Tz ,hilo wengi wenu mnalielewa ni Chama ambacho kinayaweza mapambano ya kisiasa na kimeonyesha nguvu zake na kuitaarifu Dunia ya kuwa kama wakiamua basi wanaweza ,mnakumbuka walichokifanya Zanzibar (Unguja na pia Pemba ,waulizeni polisi watawapa habari na zaidi kilichowapata hao polisi kule Pemba.Ni kuyakataa yanayofanywa na Tume ya Uchaguzi, Hayo ni moja yaliyofanyiwa tathmini kwa upande wa Tanganyika na imeonyesha wazi yanaweza kufanyika tena yakashinda yale ya Zanzibar ,

Yanayofanywa na vyama vingine kwa hivi sasa yote yanatizamwa na kuratibiwa vizuri sana bila ya kuacha kuyafanyia kazi na huko ndiko kulikowapa ushujaa CUF kuwa bado wanachama wao wapo hai na siku filimbi ikipulizwa basi wote wataitikia wito na kuelekeza majeshi katika njia ya ushindi mkuu.

Na kwa wale wanaobeza basi wajue wameshakosea kwani ushindi uko huku ,na hili wanasema ni basi la mwisho ,dandia upande wowote ue utafika kule unakotaka kupelekwa.

Mnaweza kushinda Zanzibar lkn sio bara.
 
Cuf kweli ipo kwenye damu na sio kwenye mdomo au kwenye majukwaa kama walokolee wanavyofanya,wanafikiri kila siku itakuwa jumapili,sasa cuf wana staili mpya nyumba kwa nyumba kila mtu kadi mkononi ndiyo ushindi. Sio lema na zitto au mbowe na slaa siasa hihzo zimeisha
 
Hii ni mbinu ya vijana wa Lumumba kutaka pro-chadema wajibu ili mkono wao upate kwenda kinywani.HII POST NI YA KUPUUZA hakuna mtu mwenye mapenzi ya dhati na CUF anaweza kutumia maneno yenye kuleta kinyaa kama kuita watu wa vyama vingine WALOKOLE.
 
Huyu katumwa kuja kufanya utafiti hapa.Washinde Zanzibar kwanza ndio tutawaelewa.
 
Ndiyo uzuri wa kila mtu kuwa na uhuru wa kutoa mawazo jk katupa uhuru huu acha tuutumie.
 
WALOKOLE WENGINE...??

Loading.........,.....
Hii post imetoka lumumba beleave me
 
Yap. Nakubaliana nawe 100% hasa tukitolea mfano wa mtaji wa IGUNGA inaonyesha ni jinsi gani CUF bado inamtaji mkubwa.
Ni kweli kabisa, we nimwanfunzi wa shule za kata nini? unaelewa sana mambo.
 
Ni kweli kabisa, we nimwanfunzi wa shule za kata nini? unaelewa sana mambo.

jamani hizi mada nyingie zinachekesha,yani ccm wameleta ili tucheke! Yani cuf ndo washinde!? Haya nimecheka basi he he he he!
 
Teh teh, mkuu vip v4c? Au kama ile ya chadema m4c imekufa kifo cha mende?
 
Safi saana tu.
Sii sii eem B ndiyo mnaanza kujifurahisha mapema. Kumpokea EL masjid ndo mmeona mmemaliza kazi? Yule mliye mpeleka Oman akarudi anaitwa Jumanne Ma.le...mbona hakuwasaidieni. Mpaka leo kabaki kujitapa ati ng'ombe hazeeki maini. Ama kweli, ndio maana Lipumba kasema hatogombea tena kwa sababu ya hicho kifaa kipya. Dharau zenu mtazijutia tuu 2015 sio mbali
 
Ni kweli kabisa, we nimwanfunzi wa shule za kata nini? unaelewa sana mambo.
Kaka nimegonga shule ya kata tena ndio mwaka wa kwanza baada ya kuanzishwa. So ni moja ya product za mwanzo za kata.
 
Back
Top Bottom