yusuph bukombe
Senior Member
- Jul 31, 2015
- 135
- 152
Yaani mi nashangaa unakuta mambo yote hata watu kumi.hawafiki wamaotaka zanzibar iaribike
Unadhani kupigwa tu ndio suluhu ya madai yao? Uhuru gani kama democracy inaminywa? Miongoni mwa elements za democracy ni free and fair election, transparent na nyinginezo nyingi. Je Z'bar kuna free and fair election? Wa Z'bar wasiposikilizwa nani atasikilizwa kwa maslahi na ustawi wa Z'bar?Uhuru wa Kuandamana bila kibali? hawa nao wapigwe tu. Nchi bila taratibu si nchi tena, itabaki kuwa genge la wahuni
Kabla kibali hakijatolewa ni lazima mamlaka husika ijilidhishe na dhumuni la maandamao. si kila maandamano yana tija.
sasa hao polisi kwa nini wawapige watu wanaoandamana kwa nini wasiwalinde hao wanaoandamana dhidi ya wale wanaotaka kuleta vurugu? wakiwapiga wanaoandamana hapo siitakuwa polisi ndio wameleta vurugu?Wako sahihi na wana haki.
Nimeisoma, ahsanteKiswahili sahihi:
ijilidhishe= ijiridhishe
dhumuni= (hii ni common mistake, hakuna 'dhumuni' katika Kiswahili. Siku zote ni 'madhumuni'. "Ma' si kiambishi cha kuonesha wingi, bali ni sehemu ya shina la neno kama vile maziwa (ya ng'ombe), makamu, maji, maslahi....nk.
muandamane bila kibali kutoka polic? Mnakatazwa na police walinda aman mnalazimisha? Mkipigwa mtasema ccm ndo wameamurisha au, jaribun kuheshim sheria jaman na mkiandamana bila kibali mtapigwa tu kwa sababu hamna jinc pengne mmemis virungu vya polic
Yaani wewe hamu yako machafuko tu mbona kuna vitu vingi vya kufikiria zaidi ya huo ujinga ulokukaa kichwani, sasa naamini mjinga akielimika mwerevu huwa matatani. jiongeze lofa weeVijana wataandamana, Polisi watatumika kupambana na waandamanaji wasio na hata manati, maafa yanaweza kutokea na maisha ya watu yakapotea jee nini kitafuata?
Nionavyo mimi, kwa mara ya kwanza tutashuhudia viongozi wa Kitanzania nchi inayojiita ya amani na utulivu wakipelekwa kwenye mahakama ya kimataifa ya Uhalifu dhidi ya binadamu. Chondechonde ccm acheni kuwaponza wazee wenu hawa, hivi mnaona raha gani mkija sikia wananyea debe huko Ulaya kwa kuwalazimisha wafanye mkitakacho?
Nina uhakika mzee kama Shein hata hamu na haya mambo hana tena na alipenda baada ya kukataliwa kwa kura akajipumzisha na kula pension yake kwa raha mustarehe na Mama Mwema wake. Lakini nyie wabaguzi kwa vile kikiwaka hamtakamatwa nyie basi mnaona potelea mbali. SHAURI YENU!
Mbona na wewe unakuwa kama JIPU UCHUNGU linalohitaji kutumbuliwa?hayo maandamano hayana tija yoyote zaidi ya kuleta vurugu...kama wana hamu ya kuandamana waandamanie majumbani mwao...
kumbe umenielewa ila unajifyatua akili...Mbona na wewe unakuwa kama JIPU UCHUNGU linalohitaji kutumbuliwa?
"Mjumbani" mwao!!??.....How? Kila mmoja awe anatoka chumba kimoja kwenda chumba kingine, au? Na sisi wenye chumba kimoja je, kona moja ya chumba hadi kona nyingine siyo!!??
Acha kujifanya jipu wewe wakati wewe ni kachunusi tu bhaaaana, alaa!!
FAHAMU CCM NI CHAMA TAWALA NDUGU YANGU. HAO WAKIANDAMANA BILA KIBALI WAPIGWE TU MAANA HAKUNA NAMNA NYINGINE!!Sasa kama wanaomba kibali na wananyimwa pasipo sababu wafanye nini,wakati huo huo CCM wakiomba kibali wanapewa pasi na shida!!!