MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,771
- 804
Uhuru wa Kuandamana bila kibali? hawa nao wapigwe tu. Nchi bila taratibu si nchi tena, itabaki kuwa genge la wahuni
Kama CCM ilivogeuka kuwa genge la wahuni
Uhuru wa Kuandamana bila kibali? hawa nao wapigwe tu. Nchi bila taratibu si nchi tena, itabaki kuwa genge la wahuni
Wewe ndio mpuuzi, unadhani hao wakianza kupigwa watasimama tuu? Lazima katika harakati hizo watu wanaweza kuumia au hata kufa. Sasa mie ndio nimepeleka machafuko hayo huko Zanzibar? Watu wenye akili wakiwa wanajadili mambo ya msingi wewe nenda kacheze na wenzio hayakufai haya kwa vile huelewi.Yaani wewe hamu yako machafuko tu mbona kuna vitu vingi vya kufikiria zaidi ya huo ujinga ulokukaa kichwani, sasa naamini mjinga akielimika mwerevu huwa matatani. jiongeze lofa wee
Maandamano yenye tija ni Yale ya kuja na mabango ya Ubaguzi yanayokana ukweli kuwa hakuna MTU asiyeitwa chotara Zanzibar Yale yanapata kibalihayo maandamano hayana tija yoyote zaidi ya kuleta vurugu...kama wana hamu ya kuandamana waandamanie majumbani mwao...
Mwelekeza utaratibu anapovunja utaratibu nini kifanyike?Uhuru wa Kuandamana bila kibali? hawa nao wapigwe tu. Nchi bila taratibu si nchi tena, itabaki kuwa genge la wahuni
Aliyefuta uchaguzi haleti vurugu?!hayo maandamano hayana tija yoyote zaidi ya kuleta vurugu...kama wana hamu ya kuandamana waandamanie majumbani mwao...
Mbona kibali kinatolewa ka chama kimoja vyama vingine hapana?Uhuru wa Kuandamana bila kibali? hawa nao wapigwe tu. Nchi bila taratibu si nchi tena, itabaki kuwa genge la wahuni
Hivi wapinzani tu ndio wasiofuata utaratibu?Hivi jecha alifuata utaratibu alipofuta matokeo ya uchaguzi? Au double standards! Nchi yetu haifuati utaratibu tunaenda tuuuu!Uhuru wa Kuandamana bila kibali? hawa nao wapigwe tu. Nchi bila taratibu si nchi tena, itabaki kuwa genge la wahuni
Sheria ipi inasema kuandamana ni lazima upate kibali?Uhuru wa Kuandamana bila kibali? hawa nao wapigwe tu. Nchi bila taratibu si nchi tena, itabaki kuwa genge la wahuni
Wewe ndio mpuuzi, unadhani hao wakianza kupigwa watasimama tuu? Lazima katika harakati hizo watu wanaweza kuumia au hata kufa. Sasa mie ndio nimepeleka machafuko hayo huko Zanzibar? Watu wenye akili wakiwa wanajadili mambo ya msingi wewe nenda kacheze na wenzio hayakufai haya kwa vile huelewi.
Ndio tatizo la watoto wadogo kama nyie ambao hawajui repercussions za nini kinaendelea upande wa pili wa muungano.
naona vifo katika hayo maandamano,maana yakiachiwa itakua mwanza wa maandamano yasiyokoma kudai kutorudia uchaguz,yakizuiwa vijana watafanya kwa kulazimisha na dola haitakubali,kuna roho zitaacha mwiliYah right .............. wenye haki ya kuandamana ni UVCCM tu ............. tena pamoja na mabango yao ya kibaguzi!!
naona vifo katika hayo maandamano,maana yakiachiwa itakua mwanza wa maandamano yasiyokoma kudai kutorudia uchaguz,yakizuiwa vijana watafanya kwa kulazimisha na dola haitakubali,kuna roho zitaacha mwili
Vipi yale naandamano yaliokuwa na mabango ya ubaguzi halafu ccm ikaomba radhi polisi walijiridhisha?Kabla kibali hakijatolewa ni lazima mamlaka husika ijilidhishe na dhumuni la maandamao. si kila maandamano yana tija.
ikishakuwa kuandamana ni kwa kibali,je UHURU unaouzungumza wewe ni upi?Uhuru wa Kuandamana bila kibali? hawa nao wapigwe tu. Nchi bila taratibu si nchi tena, itabaki kuwa genge la wahuni
Si tatizo kuesabu vichwa wazibari kuuliwa wameshazoea .na ndio kinachotafutwa mbona sio tatizo magu aesabu tu vichwaNaona anko magu nae anataka kuanza kuhesabu vichwa. Maana wakiandanana watafuata ile kauli ya pinda tu...nawapigwe tu maana hakuna namna.
Nilikuwa namjibu yule ambaye anataka haki hiyo ya kusikilizwa watu wa Zanzibar wasipewe.Nimekusoma lakini sielewi kwanini ni lazima wapigwe? Wakilindwa waachwe waseme hayo ya moyoni shida iko wapi ?