CUF Ifutwe haraka

CUF Ifutwe haraka

Speaker

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
6,324
Reaction score
2,242
Ipo sababu nyingine tofauti na "UDINI" iliyo
sababisha CUF isi simamishe mgombea Arumeru Mashariki?

Kama ni ukata mbona CUF imeweza kusimamisha mtu katika
kiti cha udiwani Tanga na wakashinda?

Kuna haja ya kuwa na vyama vinavyo wagawa Watanzania kwa
misingi ya dini zao?

Huku sio kupandisha chuki?
"Kwamba kwa kuwa wameru wengi dini flani,na sisi mizizi yetu
ni dini flani basi hatuwezi kuwa wakilisha?"

Kama dini ndio ilikuwa sababu ya kuto simamisha mgombea Arumeru,basi
CUF ifutwe,kama sio,waseme kwanini.
 
ipo sababu nyingine tofauti na "udini" iliyo
sababisha cuf isi simamishe mgombea arumeru mashariki?

Kama ni ukata mbona cuf imeweza kusimamisha mtu katika
kiti cha udiwani tanga na wakashinda?

Kuna haja ya kuwa na vyama vinavyo wagawa watanzania kwa
misingi ya dini zao?

Huku sio kupandisha chuki?
"kwamba kwa kuwa wameru wengi dini flani,na sisi mizizi yetu
ni dini flani basi hatuwezi kuwa wakilisha?"

kama dini ndio ilikuwa sababu ya kuto simamisha mgombea arumeru,basi
cuf ifutwe,kama sio,waseme kwanini.

bila ya shaka wana magamba wanakutumia. Kwa taarifa yako jimbo la arumeru halifungamani na dini yoyote.
 
Vijibweni Udiwani wamesimamisha mgombea na Maalim Seif akaja kuhitimisha Kampeni(TEMEKE)!! na wamekuwa wa pili na CDM ya tatu kulikoni Arumeru!? (KKKT NA RC wengi!?) huko Miraji, Ally, Mohammed na Abdallah hawawezi pigiwa kura? Acheni hizo Someni alama za nyakati TZ haina UDINI na UKABILA hizo itikadi zenu zitawaponza ndo maana mnameguka. Mulianza na JAMES MAPALALA (Muasisi) na wabara wengine wakristo UDINI ukapita mkawang'oa. Ni bahati yake jamaa anaitwa "HAROUN' Lipumba" siku wakijua kuwa nio AICT mzuri tena mzee wa kanisa, Mkutano utafanyika Usiku kama si Unguja basi Pemba na agenda itakuwa moja tu! "Kuwaondoa Makhafili!" NANI ANAUKIMBUKA MKUTANO WA NCCR WA TANGA WA KUMUADABISHA MREMA? Nini kilitokea!? Taa zilizimwa na kilichofuata ni balaa! Lakini walisahau kuwa Mrema ni KAMANDA/KOMANDO MKUU WA TAIFA WA SUNGUSUNGU hivyo anajua kukwepa hata Mishale, hawakumpata Meza kuu ndani ya giza totoro! Lakini ndo ilikuwa mwanzo wa kuondoka NCCR-MAGEUZI.
 
Sidhani kama una hoja ya msingi na ninaomba thread hii ifutwe kabisa. Mbona NCCR hawakusimamisha mgombea nao utasema wana udini? anyway mimi ni chadema lakini kwa hili unalowapa cuf haliwafai kwa sasa mbona igunga walimsimamisha mkiristo
 
Vijibweni Udiwani wamesimamisha mgombea na Maalim Seif akaja kuhitimisha Kampeni(TEMEKE)!! na wamekuwa wa pili na CDM ya tatu kulikoni Arumeru!? (KKKT NA RC wengi!?) huko Miraji, Ally, Mohammed na Abdallah hawawezi pigiwa kura? Acheni hizo Someni alama za nyakati TZ haina UDINI na UKABILA hizo itikadi zenu zitawaponza ndo maana mnameguka. Mulianza na JAMES MAPALALA (Muasisi) na wabara wengine wakristo UDINI ukapita mkawang'oa. Ni bahati yake jamaa anaitwa "HAROUN' Lipumba" siku wakijua kuwa nio AICT mzuri tena mzee wa kanisa, Mkutano utafanyika Usiku kama si Unguja basi Pemba na agenda itakuwa moja tu! "Kuwaondoa Makhafili!" NANI ANAUKIMBUKA MKUTANO WA NCCR WA TANGA WA KUMUADABISHA MREMA? Nini kilitokea!? Taa zilizimwa na kilichofuata ni balaa! Lakini walisahau kuwa Mrema ni KAMANDA/KOMANDO MKUU WA TAIFA WA SUNGUSUNGU hivyo anajua kukwepa hata Mishale, hawakumpata Meza kuu ndani ya giza totoro! Lakini ndo ilikuwa mwanzo wa kuondoka NCCR-MAGEUZI.

Usipotoshe uma matokeo ya vijibweni CDM 802 na CUF 707 nani wa pili hapo

 
Acha magugu na ngano vikue pamoja, siku ya mavuno tutavuna ngano na magugu ni ya kuchoma moto!
 
Mimi ni cdm hii naomba ifutwe
huyu ni magamba analeta udini, tuwaache kwani umaarufu wa nccr tlp arumeru uko wapi? Tlp wamepata ngapi arumeru eti? Hata cuf wangeshiriki wangeambulia kama tlp!.
 
Vijibweni Udiwani wamesimamisha mgombea na Maalim Seif akaja kuhitimisha Kampeni(TEMEKE)!! na wamekuwa wa pili na CDM ya tatu kulikoni Arumeru!? (KKKT NA RC wengi!?) huko Miraji, Ally, Mohammed na Abdallah hawawezi pigiwa kura? Acheni hizo Someni alama za nyakati TZ haina UDINI na UKABILA hizo itikadi zenu zitawaponza ndo maana mnameguka. Mulianza na JAMES MAPALALA (Muasisi) na wabara wengine wakristo UDINI ukapita mkawang'oa. Ni bahati yake jamaa anaitwa "HAROUN' Lipumba" siku wakijua kuwa nio AICT mzuri tena mzee wa kanisa, Mkutano utafanyika Usiku kama si Unguja basi Pemba na agenda itakuwa moja tu! "Kuwaondoa Makhafili!" NANI ANAUKIMBUKA MKUTANO WA NCCR WA TANGA WA KUMUADABISHA MREMA? Nini kilitokea!? Taa zilizimwa na kilichofuata ni balaa! Lakini walisahau kuwa Mrema ni KAMANDA/KOMANDO MKUU WA TAIFA WA SUNGUSUNGU hivyo anajua kukwepa hata Mishale, hawakumpata Meza kuu ndani ya giza totoro! Lakini ndo ilikuwa mwanzo wa kuondoka NCCR-MAGEUZI.

Toa uongo hapa CUF imekuwa ya 3
 
CHADEMA sisi tuko makini, hivyo CUF na wanamageuzi wengine tuachane nao. Ndugu yangu hapo umechemsha vibaya, jipange upya. Magamba kwanza maana bila wao inawezekana.
 
Ipo sababu nyingine tofauti na "UDINI" iliyo
sababisha CUF isi simamishe mgombea Arumeru Mashariki?

Kama ni ukata mbona CUF imeweza kusimamisha mtu katika
kiti cha udiwani Tanga na wakashinda?

Kuna haja ya kuwa na vyama vinavyo wagawa Watanzania kwa
misingi ya dini zao?

Huku sio kupandisha chuki?
"Kwamba kwa kuwa wameru wengi dini flani,na sisi mizizi yetu
ni dini flani basi hatuwezi kuwa wakilisha?"

Kama dini ndio ilikuwa sababu ya kuto simamisha mgombea Arumeru,basi
CUF ifutwe,kama sio,waseme kwanini.

umetumia vigezo vipi kudhani CUF wametumia kigezo cha dini kutosimamisha mgombea?
Bila shaka mawazo yako ndiyo yanatakiwa kufutwa haraka sana!
 
Vijibweni Udiwani wamesimamisha mgombea na Maalim Seif akaja kuhitimisha Kampeni(TEMEKE)!! na wamekuwa wa pili na CDM ya tatu kulikoni Arumeru!? (KKKT NA RC wengi!?) huko Miraji, Ally, Mohammed na Abdallah hawawezi pigiwa kura? Acheni hizo Someni alama za nyakati TZ haina UDINI na UKABILA hizo itikadi zenu zitawaponza ndo maana mnameguka. Mulianza na JAMES MAPALALA (Muasisi) na wabara wengine wakristo UDINI ukapita mkawang'oa. Ni bahati yake jamaa anaitwa "HAROUN' Lipumba" siku wakijua kuwa nio AICT mzuri tena mzee wa kanisa, Mkutano utafanyika Usiku kama si Unguja basi Pemba na agenda itakuwa moja tu! "Kuwaondoa Makhafili!" NANI ANAUKIMBUKA MKUTANO WA NCCR WA TANGA WA KUMUADABISHA MREMA? Nini kilitokea!? Taa zilizimwa na kilichofuata ni balaa! Lakini walisahau kuwa Mrema ni KAMANDA/KOMANDO MKUU WA TAIFA WA SUNGUSUNGU hivyo anajua kukwepa hata Mishale, hawakumpata Meza kuu ndani ya giza totoro! Lakini ndo ilikuwa mwanzo wa kuondoka NCCR-MAGEUZI.
Acha uongo wewe... CUF wamekuwa watatu (3) pamoja na seif wao Tukawaonyesha mziki wa CDM ukoje, Nasema hivi CUF siyo wapinzani wa siasa katika taifa hili, Mimi kama kiongozi nilichukua jukumu la kuongea na viongozi wa CUF kuhusu vijibweni kuwa hawawezi waiunge CHADEMA mkono jibu nililopewa nikaamini CUF ni ccm b 100%
 
Back
Top Bottom