CUF iache unafiki




Hawa ni ndugu jamani. Hata hivyo hahofu sana kama ccm ana cuf ni ndugu visiwani, hapa iwe chadena na cuf. yaani cuf ni shetani kwa ccm hapa bara ila visiwani ni malaika. tufike mahali popo aitwe ama ndege au myama na sio kubadilika badilika kwa kuangalia upepo. hawa cuf ni ccm iliyovaa bendera ya cuf. Lakini la hatari kuliko yote, kweli leo chadema iunde kambi kwa kushirikisha TLP??????????? utakuwa uongo.
 
rudi shule rais si sehemu ya bunge

nani anasaidi mswada kuwa sheria? Unatoka kwa kina nani? Yaani kina mnyika wajadili waupitishe halafu unaenda kwa slaa au jk kusainiwa kuwa sheria? Hilo swali langu dogo tu naomba majibu
 
HAWA :sad: CUF NI NYUMBA NDONGO YA CCM TU HAWANA CHA KUTUAMBIA WATANZANIAN WENYE UCHUNGU NA DEMOKRASIA YA TANZANIA INAYOZAMISHWA SHIMONI NA WATU WACHACHE
 
LUMAGA
ndugu sikubishii na inawezekana sana unalosema likawa la kweli- lakini mabadiliko kuja kwa ghala ni labda tuu itokee REVOLUTION au kwa lugha tulizo zoea Africa COUP- DEATAT. Sikatai kwamba Tanzania iko katika mabadiliko ambayo yanakuja kwa ghafla sana- lakini rate yake bado nashawishika kuamni kuwa haina uwezo wa kuuvunja mfumo wa Dominant-Catch-All Party wa CCM ambao unahistoria pana kuliko hata Wanasisa wa vyama vyote vya Siasa. YAnaweza kuwa Mgando- Lakni kweli unahisi kura za kikwete zingeweza kupungu kutoka 80% hadi less than 50%- i think the statistcs ambazo zimetolewa ni very resonable na zinaonyesha wazi kuwa mabadiliko yanakuja- na ofourse yanweka sawa kuwa it is most likely that in 2015- TAnzania inaweza ikaokolewa na Vyama Vya Upinzani- NAweza kuwa nakosea lakini bado naamini kuwa this is realistic. Kumbuka watu kubadilika huwa hawabadili over night- na ndio maana katika vitu vyote vya wanaadamu mabadiliko ya kimawazo na kitabia huwa ni magumu sana. This is however true that TANZANIA IS CHANGING- BUT ITS CHANGE THAT WE HAVE NOT YET ACHIEVED.
 
sasa mie mpaka sasa sijawaelewa chadema hamumtambui rais mbona mmeshaunda kambi ya upinzani bungeni na rais ni sehemu ya bunge na mtaunda serikali kivuli itakayokuwa chini ya rais au baniani mbaya kiatu chake dawa? Au chadema ni ccm c?

mshahara wa mbunge na marupu rupu yote ni karibu million 13. Hawawezi hawathubutu hata siku moja kusema hatulitambui bunge .......cuf walifanya hivi kwa vipindi viwili..hawakujali mishahara mikubwa ya bunge...waliposema hatuzitambui serikali ya salmin na karume walikua seriious sio ubunge nataka urais nimeibiwa....

Inataka moyo...
 
Macos
I totaly agree with you and furthermore- waligoma kuweka kambi ya upinzani for 10 years na nzuri zaidi hawakuihoji serikali katka uwajibikaji wao wa kikazi- yaani kuuliza maswali katika baraza la wawakilishi. Kifupi ukiihoji serikali- unaquesti kazi ya executive - na bosi wake ni raisi- pindi utapofanya hivyo basi unamtambua raisi alioko madarakani- am wondering bila kutumia bunge kupaza sauti zao SIASA YA CHADEMA IKO WAPI- na kupitia chombo hichi ndio wamepanda chati kisiasa- i know the two political structures are different {legislature & Exceutive} but one of the major objective of the legislature is cheack &b balance on the work of the Executive! How will it work?- wakati tayari wameunda kambi ya upinzani! WIERD
 
Siasa sio kurushiana ngumi.

Inapobidi kukaa chini kuwa pamoja hamna budi kufanya hivyo, ni kwa maslahi ya wananchi wote sio kutaka ujiko binafsi. Vyama vinafanya matakwa ya wananchi, wengi wape ndio demokrasia.
 
Hivi kwani kuna chama kinaitwa cuf kwa sasa!! cuf ilikuwa miaka ya nyuma si sasa, cuf kilikufa siku ile ya muhafaka ikamezwa ndani ya ccm. Tanzania hakuna tena chama kinachoitwa cuf.
 
Sasa mie mpaka sasa sijawaelewa chadema hamumtambui Rais mbona mmeshaunda kambi ya upinzani bungeni na Rais ni sehemu ya bunge na mtaunda serikali kivuli itakayokuwa chini ya Rais au baniani mbaya kiatu chake dawa? au Chadema ni CCM C?

Kuna sredi moja ya leo asubuhi, najua unaifahamu ulikuja na urguement hii hii, ukajibiwa kule hadi ukatokomea gizani sasa tena unaibukia huku. Kama bado hujaridhika si urudi kule kule ukale nondo? kwanini kukimbia kimbia na hoja hiyo hiyo moja kila mahali ukifika tu unaichomeka wakati umeshindwa kuitetea.
 
cuf kamwe hawana sifa tena za kuwa wapinzani kwani wao na ccm ni wamoja na hata mipango ya kuendesha nchi inaandaliwa na kukubaliwa na wote na kwa hiyo hakuna wa kulaumu upande wa pili......kwanza cuf ni taasisi ta dini ya kiislamu na pili ni ccm b.....no more
 
Back
Top Bottom