Cuba yakubali kuanza mazungumzo na Marekani

Cuba yakubali kuanza mazungumzo na Marekani

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,894
HAPA KATI MH TRUMP ALISEMA BAADA YA IRAN KITUO KINACHOFWATA
CUBA
SASA RAIS MIGUEL KAONA ISIWE TABUU
HERI...NUSI SHARI KULIKO SHARI ZIMA

KITUO KINACHOFWATA KIMEGOMA
UNAHISI NANI ANAFWATA ??CUBA KACHOMOA BETRI
"""

Rais wa Cuba, Miguel Díaz-Canel, ametoa tangazo la kushtua kupitia televisheni ya taifa akibainisha kuwa serikali yake imekubali kuanza mazungumzo na Marekani chini ya utawala wa Rais Donald Trump, hatua hii inatajwa kuwa ni matokeo ya shinikizo kubwa ambalo nchi hiyo imekuwa ikikabiliana nalo, jambo lililopelekea Cuba kubadili mwelekeo wake wa kidiplomasia ili kunusuru hali ya mambo nchini humo.

Mabadiliko haya makubwa katika sera za kigeni za Cuba yanaashiria kuanza kwa sura mpya ya mahusiano kati ya mataifa hayo mawili ambayo yamekuwa na mivutano ya muda mrefu, ingawa maelezo ya kina kuhusu makubaliano hayo bado hayajawekwa wazi, mazungumzo haya yanatarajiwa kuangazia masuala mtambuka ya kiuchumi na kisiasa, huku jumuiya ya kimataifa ikifuatilia kwa karibu kuona jinsi utawala wa Trump utakavyopokea hatua hiyo ya Havana.

Ikumbukwe siku za nyuma Trump alisema baada ya Iran Kituo kinachofuata ni Cuba anaweza kuichukua kirafiki au Kimabavu, Sasa miguel ameona atupe taulo tu bado anautaka urais wa Cuba😁
 
🚨 BREAKING: 🇺🇸🇮🇷 US Secretary of Defense Pete Hegseth declares today will mark the most intense day of strikes on Iran yet in the ongoing US-Israel war against the Islamic Republic.

In a Pentagon briefing alongside Chairman of the Joint Chiefs General Dan Caine, Hegseth stated that American and Israeli forces have already hit over 15,000 targets since the conflict began on February 28, devastating Iran's military capabilities—including its air defenses, air force, navy, and missile production.

He emphasized:
"Today will be yet again our most intense day of strikes inside Iran — the most fighters, the most bombers, the most strikes... the highest volume of strikes that America has put over the skies of Iran and Tehran."

The war, now in its second week, has escalated rapidly since the initial strikes that killed former Supreme Leader Ali Khamenei.
 
Marekani hawezi kujaribi vita yoyote ambayo anakua terget missiles hit ni direct kwenye ardhi yake. Cuba na marekani zikiingia vitani means zitapigana vita vyaoja kwa moja baina ya nchi mbili. Hicho ndicho kilichompa Cuba kibri miaka yote tangu enzi za Castro. Vita kubwa ya USA kwa Cuba ni vita vya kiintelijensia Ili kufanya mapinduzi ya zamu.
 
Kuhusu Cuba, hao makomunist inatakiwa waondoke madarakani kwa sababu wao ndio chanzo cha Cuba kuwa Shithole Country.

Raia wengi sana wa Cuba wamekimbilia Marekani kutafuta uhuru na maisha kwani Cuba ni nchi choka mbaya na haina fursa na wananchi ni kama wako tu gerezani.

Isingekuwa utawala wa Fidel Castro leo hii Cuba ingekuwa na uhusiano mkubwa wa kiuchumi na kibiashara na Marekani na ingekuwa inacheza ligi moja na akina North Korea, Singapore na Taiwan.

Ni muda sasa wa hao wavaa katera kung'olewa madarakani. Katika dunia hii ni ukweli usiopingika kwamba ukiwa na uhusiano wa karibu na mataifa kama Russia na China basi ujue nchi yenu inabaki ya wachoma mahindi 🌽 tu kama Tanzania.
 
Marekani hawezi kujaribi vita yoyote ambayo anakua terget missiles hit ni direct kwenye ardhi yake. Cuba na marekani zikiingia vitani means zitapigana vita vyaoja kwa moja baina ya nchi mbili. Hicho ndicho kilichompa Cuba kibri miaka yote tangu enzi za Castro. Vita kubwa ya USA kwa Cuba ni vita vya kiintelijensia Ili kufanya mapinduzi ya zamu.
Umeishia darasa la ngapi wewe?
 
Kuhusu Cuba, hao makomunist inatakiwa waondoke madarakani kwa sababu wao ndio chanzo cha Cuba kuwa Shithole Country.

Raia wengi sana wa Cuba wamekimbilia Marekani kutafuta uhuru na maisha kwani Cuba ni nchi choka mbaya na haina fursa na wananchi ni kama wako tu gerezani.

Isingekuwa utawala wa Fidel Castro leo hii Cuba ingekuwa na uhusiano mkubwa wa kiuchumi na kibiashara na Marekani na ingekuwa inacheza ligi moja na akina North Korea, Singapore na Taiwan.

Ni muda sasa wa hao wavaa katera kung'olewa madarakani. Katika dunia hii ni ukweli usiopingika kwamba ukiwa na uhusiano wa karibu na mataifa kama Russia na China basi ujue nchi yenu inabaki ya wachoma mahindi 🌽 tu kama Tanzania.
Huwa mnaropoka sana humu ndani
 
Back
Top Bottom