CTV - CHADEMA TV: Karibuni hewani

Sheria zinaruhusu lakini waungwana?? Magamba wasije kuchakachua na kukandia.!
 
Aise najaribu kuifikiria hivi hiyo tv itapewa kibari manake ikipewe itahatarisha usalama wa serikali ya zzm, naona hapo patachimbika.
 
<br />
<br
Tuna maadui watatu UJINGA,MARADHI,UMASKINI na CCM bila shaka aliyeandika hapa ameathirika na Adui wa kwanza na wa mwisho.
 
Jamani haya mambo mageni kwangu..Naweza jua Chanzo cha uhakika wa TV...? nipo nyuma kidooogo..
 

Basically;people like you hua hamkosekani....Vp Nape mzima?[/B] Na vp kwenye orodha ya JK ya wakuu wa wilaya upo?
 
itakuwa tv ya ngumi,fujo, maandamano,tindikali,uchochezi na nyimbo za sugu zitakuwa mapambio baada ya mahubiri ya bwana padre
slaa
 
itakuwa tv ya ngumi,fujo, maandamano,tindikali,uchochezi na nyimbo za sugu zitakuwa mapambio baada ya mahubiri ya bwana padre <BR>slaa
 
itakuwa tv ya ngumi,fujo,maandamano,tindikali,uchochezi na nyimbo za sugu zitakuwa mapambio baada ya mahubiri ya padre slaa
 
Ndugu Donyongijape, hiyo Television station ipo njiani kuja unachotakiwa kufanya ni kutunza hiyo pesa ili tukiihitaji iwe karibu mimi ni mdau namba moja hivyo hauna haja ya kuona imechelewa.
<br />
<br />

Big up, chadema, wazo langu ni kuwa hiyo logo inaweza kuboreshwa zaidi, msifanyw mambo peke yenu fungueni uwanja ili wadau wengi zaidi watoe michango yao kwenye ubunifu. Logo ya sasa ni kama ya CNN, tangazeni mashindano ya logo design tuchanhamshe bongo tutoke na kitu cha ukweli, tunaweza.
 
itakuwa tv ya ngumi,fujo, maandamano,tindikali,uchochezi na nyimbo za sugu zitakuwa mapambio baada ya mahubiri ya bwana padre
slaa

sijui kama huhitaji maombii...na watu kama nyie maendeleo 0
 
Tv chadema itakuwa changamoto la mabadiliko ya kweli,,yule mzee wa kichaga na litv lake ataangalia na wake zake,,simpendi sana yule babu
we utakuwa na undugu na wale mafisadi au unalipwa kwa kulamba viatu vyao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…