CTV - CHADEMA TV: Karibuni hewani

Wewe acha kujifanya hamnazo, Tanzanis Daima ni UHURU la CDM na sasa limechoka mbaya! Yaani limechuja kupita maelezo!
 
Jibu maswali:

1.Source ya habari?
2.Coverage yake??
3.Online au Analogie/Digital?

HARAKATI TELEVISION:::::HTV
 
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema.kimepanga mikakati mikubwa ya kufungua kituo cha matangazo ktk television.wadau mnaombwa kutoa maoni ya kupendekeza jina la kituo. Je unataka kiitwaje?
<br />
<br />
 
kila la kheri wengine watafuata
 

kwani JF ni ya CHADEMA, na TANZANIA DAIMA halimikiwi na CHADEMA kama lilivyo UHURU/ MAZALENDO
 
Wewe acha kujifanya hamnazo, Tanzanis Daima ni UHURU la CDM na sasa limechoka mbaya! Yaani limechuja kupita maelezo!


Unaota ndoto za mchana hizo ndugu, tanzania daima linazidi kupasua mawingu na sasa inakuja tv na radio naona mtakimbia nchi mwaka huu.
Naunga mkono hoja tupo tayari kuchangia hiyo tv.
 
Utaona CCM nao wanaiga soon ingawa wana TBC, ITV na Star TV!! Hongere CDM.....!!! Nasubiri FaizaFoxy aseme!!
 
Chadema bana... yaani wao ni 🥁 wakiongozwa na kilaza SUGU ....
 
Josephine Mushumbusi Slaa Television JMS TV
 
Ungeanza na redio tungeona uko serious maana hiyo haihitaji uwekezaji mkubwa, hayo ya CTV yangefua baadae. Au kama vipi tengeneza ya kwenye internet watu waone online.
<br />
<br />
ndg, kwani ATN ya mhubiri fernandes ina kituo cha redio?
 
Mods kumekuwa na thread zaidi ya 3 zinazohusu Chadema tv lakini hamjaziunganisha. Au kwasababu haziipondi Chadema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…