Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya nishati na madini Mh J. Makamba ameripoti kuwa CTI wameonesha nia ya kununua mitambo ya dowans baada ya serikali kupata kigugumizi kununua mitambo hiyo. SOURCe: mwananchi.
MY TAKE: mmiliki wa Dowans ni mtu very strong kiasi kwamba serikali ina msaidia kuhakikisha kuwa anaendelea kufaidi tax payer's money
MY TAKE: mmiliki wa Dowans ni mtu very strong kiasi kwamba serikali ina msaidia kuhakikisha kuwa anaendelea kufaidi tax payer's money