KERO CT scan na MRI kwanini mgonjwa hapewi option ya kuchagua?

KERO CT scan na MRI kwanini mgonjwa hapewi option ya kuchagua?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Yukwapi

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
480
Reaction score
605
Habari Wana JF
Kunaswala Moja ambalo naona kama halipo sawa.
Ukifwatilia kiundani tofauti ya vipimo hivi vya X ray,CT scan na MRI unagundua kua

MRI nikizuri nahakina mazara sababu kinatumia sumaku ila X ray na CT vinatumia mionzi ambayo inapelekea Baadhi ya sell kufa ndiomaana hata ufanywaji wake nilazma madokta wajifungie ili kuepuka mionzi ila wewe mgonjwa unatoswa kwenye mionzi.

Je kwanini madaktari wasiweke option ya mgonjwa kuchagua kileanachoona hakinamadhara kwake hatakama gharama nikubwa ili kujiepusha namagonjwa mengine ambayo yanaweza kujitokeza miaka ya baadae kama saratani ??
 
Habari Wana JF
Kunaswala Moja ambalo naona kama halipo sawa.
Ukifwatilia kiundani tofauti ya vipimo hivi vya X ray,CT scan na MRI unagundua kua

MRI nikizuri nahakina mazara sababu kinatumia sumaku ila X ray na CT vinatumia mionzi ambayo inapelekea Baadhi ya sell kufa ndiomaana hata ufanywaji wake nilazma madokta wajifungie ili kuepuka mionzi ila wewe mgonjwa unatoswa kwenye mionzi.

Je kwanini madaktari wasiweke option ya mgonjwa kuchagua kileanachoona hakinamadhara kwake hatakama gharama nikubwa ili kujiepusha namagonjwa mengine ambayo yanaweza kujitokeza miaka ya baadae kama saratani ??
Unajua Kazi na Tunaangalia nini kwenye Kila Kipimo?
Kila kipimo kina Sifa zake na Matakwa ya Daktari kuangalia Feature zipi anazotaka..
 
Habari Wana JF
Kunaswala Moja ambalo naona kama halipo sawa.
Ukifwatilia kiundani tofauti ya vipimo hivi vya X ray,CT scan na MRI unagundua kua

MRI nikizuri nahakina mazara sababu kinatumia sumaku ila X ray na CT vinatumia mionzi ambayo inapelekea Baadhi ya sell kufa ndiomaana hata ufanywaji wake nilazma madokta wajifungie ili kuepuka mionzi ila wewe mgonjwa unatoswa kwenye mionzi.

Je kwanini madaktari wasiweke option ya mgonjwa kuchagua kileanachoona hakinamadhara kwake hatakama gharama nikubwa ili kujiepusha namagonjwa mengine ambayo yanaweza kujitokeza miaka ya baadae kama saratani ??
Gen zege mna shida sana

Kuna siku mtadai Mungu awape options za siku za kufa
 

Attachments

  • Difference_between_Xr_MRI_and_CT.jpg
    Difference_between_Xr_MRI_and_CT.jpg
    10.9 KB · Views: 25
Habari Wana JF
Kunaswala Moja ambalo naona kama halipo sawa.
Ukifwatilia kiundani tofauti ya vipimo hivi vya X ray,CT scan na MRI unagundua kua

MRI nikizuri nahakina mazara sababu kinatumia sumaku ila X ray na CT vinatumia mionzi ambayo inapelekea Baadhi ya sell kufa ndiomaana hata ufanywaji wake nilazma madokta wajifungie ili kuepuka mionzi ila wewe mgonjwa unatoswa kwenye mionzi.

Je kwanini madaktari wasiweke option ya mgonjwa kuchagua kileanachoona hakinamadhara kwake hatakama gharama nikubwa ili kujiepusha namagonjwa mengine ambayo yanaweza kujitokeza miaka ya baadae kama saratani ??
Swali lako ni zuri sana na linaweza kujibiwa kulingana na sababu za kitabibu, aina ya tatizo la mgonjwa, na malengo ya uchunguzi wa daktari. Hapa chini ni sababu kuu kwa nini MRI (Magnetic Resonance Imaging) huchaguliwa badala ya CT Scan (Computed Tomography):


---

1. Uwezo wa Kuonyesha Tishu Laini kwa Ubora wa Juu

MRI ina uwezo mkubwa sana wa kuonyesha tishu laini kama ubongo, uti wa mgongo, misuli, maungio (joints), mishipa (ligaments), na viungo vya uzazi.

CT scan ni nzuri kwa mifupa na damu iliyoganda, lakini siyo bora sana kwa tishu laini ikilinganishwa na MRI.

2. Hakuna Mionzi ya X-ray

MRI haitumii mionzi (radiation) – badala yake hutumia sumaku na mawimbi ya redio.

CT scan hutumia mionzi ya X-ray, ambayo kwa matumizi ya mara kwa mara inaweza kuongeza hatari ya mabadiliko ya seli au saratani kwa muda mrefu.

3. Matumizi katika Uchunguzi wa Ubongo na Uti wa Mgongo

MRI hutumika sana kwa uchunguzi wa:

Kiharusi (stroke)

Uvimbe (tumors)

MS (Multiple Sclerosis)

Maumivu ya mgongo ya muda mrefu

Majeraha ya uti wa mgongo



CT scan inaweza kutumika kwa dharura, lakini MRI inaonyesha maelezo kwa undani zaidi.

4. Uchunguzi wa Maungio (Joints) na Misuli

Kwa matatizo ya:

Magoti, mabega, nyonga, na mgongo

Ligament au cartilage iliyochanika


MRI huonyesha vizuri sana hali ya ndani ya maungio kuliko CT scan.


5. Uwezo wa Kubaini Magonjwa ya Mapema

MRI inaweza kugundua mabadiliko madogo sana kwenye tishu kabla hayajaonekana kwenye CT scan.



❗ Lakini CT scan hupewa kipaumbele kwa:

Majeraha ya haraka kama ajali

Kutambua damu iliyovuja kwenye ubongo (bleeding)

Uchunguzi wa mapafu, mifupa, na figo haraka

Wagonjwa wasioweza kuingia ndani ya mashine ya MRI (kwa sababu ya kifafa, pacemaker, au vifaa vya metali mwilini)



Hitimisho

MRI huchaguliwa badala ya CT scan pale ambapo daktari anahitaji picha za tishu laini kwa ubora wa hali ya juu na anataka kuepuka mionzi. Hata hivyo, uchaguzi unategemea hali ya mgonjwa, hitaji la kitabibu, na upatikanaji wa vifaa.
 
Swali lako ni zuri sana na linaweza kujibiwa kulingana na sababu za kitabibu, aina ya tatizo la mgonjwa, na malengo ya uchunguzi wa daktari. Hapa chini ni sababu kuu kwa nini MRI (Magnetic Resonance Imaging) huchaguliwa badala ya CT Scan (Computed Tomography):


---

1. Uwezo wa Kuonyesha Tishu Laini kwa Ubora wa Juu

MRI ina uwezo mkubwa sana wa kuonyesha tishu laini kama ubongo, uti wa mgongo, misuli, maungio (joints), mishipa (ligaments), na viungo vya uzazi.

CT scan ni nzuri kwa mifupa na damu iliyoganda, lakini siyo bora sana kwa tishu laini ikilinganishwa na MRI.

2. Hakuna Mionzi ya X-ray

MRI haitumii mionzi (radiation) – badala yake hutumia sumaku na mawimbi ya redio.

CT scan hutumia mionzi ya X-ray, ambayo kwa matumizi ya mara kwa mara inaweza kuongeza hatari ya mabadiliko ya seli au saratani kwa muda mrefu.

3. Matumizi katika Uchunguzi wa Ubongo na Uti wa Mgongo

MRI hutumika sana kwa uchunguzi wa:

Kiharusi (stroke)

Uvimbe (tumors)

MS (Multiple Sclerosis)

Maumivu ya mgongo ya muda mrefu

Majeraha ya uti wa mgongo



CT scan inaweza kutumika kwa dharura, lakini MRI inaonyesha maelezo kwa undani zaidi.

4. Uchunguzi wa Maungio (Joints) na Misuli

Kwa matatizo ya:

Magoti, mabega, nyonga, na mgongo

Ligament au cartilage iliyochanika


MRI huonyesha vizuri sana hali ya ndani ya maungio kuliko CT scan.


5. Uwezo wa Kubaini Magonjwa ya Mapema

MRI inaweza kugundua mabadiliko madogo sana kwenye tishu kabla hayajaonekana kwenye CT scan.



❗ Lakini CT scan hupewa kipaumbele kwa:

Majeraha ya haraka kama ajali

Kutambua damu iliyovuja kwenye ubongo (bleeding)

Uchunguzi wa mapafu, mifupa, na figo haraka

Wagonjwa wasioweza kuingia ndani ya mashine ya MRI (kwa sababu ya kifafa, pacemaker, au vifaa vya metali mwilini)



Hitimisho

MRI huchaguliwa badala ya CT scan pale ambapo daktari anahitaji picha za tishu laini kwa ubora wa hali ya juu na anataka kuepuka mionzi. Hata hivyo, uchaguzi unategemea hali ya mgonjwa, hitaji la kitabibu, na upatikanaji wa vifaa.
Asante kwa jibu lakini narudi kwa swali tena je ? Hayo uliyosema kua CT inafanya ukimtumia MRI huwezi pata majibu ??
 
Sikweli.

MRI ni Kwaajili ya Soft Tissues (Ubongo, Tumbo, Mapafu n.k).

CT scan/ X-ray ni Kwaajili ya Hard tissues (Mifupa, vyuma n.k).

PET Scan ni Kwaajili ya Metabolic Activities at cellular level na hutumika katika early detection ya Tumor
Sio kweli kwamba MRI haiwezi kupima hard tissue.
Kitu ninachoona madaktari wanakwepa nimuda wakutoa majibu ya vpimo sababu MRI inachukua muda
 
Kipimo ni kisaidizi cha Daktari katika kutafuta ufumbuzi wa kumsaidia mgonjwa wake na sio utashi wa mgonjwa. Ufahamu, hekima na busara za Daktari ndio zinaamua ni kipimo gani aombe kifanywe kwa mgonjwa.
NI MARUFUKU NA HATARI SANA KWA MGONJWA KUTAKA KUPIMWA KIPIMO GANI.
 
Unajua Kazi na Tunaangalia nini kwenye Kila Kipimo?
Kila kipimo kina Sifa zake na Matakwa ya Daktari kuangalia Feature zipi anazotaka..
Nimeishi Norway, mgonjwa unaambiwa kila kipimo, unaambiwa faida na madhara, wewe ndiyo unachagua au unaweza kuwaambia wawe huru kuchagua au kumshirikisha daktari wako binafsi kuchagua option bora zaidi. Acheni kudanganya watu madaktari uchwara wa Tanzania.
 
Sio kweli kwamba MRI haiwezi kupima hard tissue.
Kitu ninachoona madaktari wanakwepa nimuda wakutoa majibu ya vpimo sababu MRI inachukua muda
Picha ya Hard tissues za CT Scan/X-ray zina utofauti mkubwa sana na za MRI vivyo hivyo na kwa Soft Tissues. Utofauti upo kwenye details zinazoweza kupatikanika kwenye picha hizo.
 
Habari Wana JF
Kunaswala Moja ambalo naona kama halipo sawa.
Ukifwatilia kiundani tofauti ya vipimo hivi vya X ray,CT scan na MRI unagundua kua

MRI nikizuri nahakina mazara sababu kinatumia sumaku ila X ray na CT vinatumia mionzi ambayo inapelekea Baadhi ya sell kufa ndiomaana hata ufanywaji wake nilazma madokta wajifungie ili kuepuka mionzi ila wewe mgonjwa unatoswa kwenye mionzi.

Je kwanini madaktari wasiweke option ya mgonjwa kuchagua kileanachoona hakinamadhara kwake hatakama gharama nikubwa ili kujiepusha namagonjwa mengine ambayo yanaweza kujitokeza miaka ya baadae kama saratani ??

Kwani mgonjwa asiyekua mbobezi wa hayo mavitu anajua nini?
 
Nimeishi Norway, mgonjwa unaambiwa kila kipimo, unaambiwa faida na madhara, wewe ndiyo unachagua au unaweza kuwaambia wawe huru kuchagua au kumshirikisha daktari wako binafsi kuchagua option bora zaidi. Acheni kudanganya watu madaktari uchwara wa Tanzania.
Bora uwaambie wanafikiri wagonjwa wote nikuwadanganya namgonjwa anaposhauri daktari anajikuta mkali nazarau kiuhalisia madaktari wengi siobingwa na hawana elimu ya vifaa tiba hivyo wanaishia kwakukariri waliyofundishwa darasani huwezi niambia MRI haiwezi kupima shape ya UTI wa mgongo ulivyokaa
 
Sio kweli kwamba MRI haiwezi kupima hard tissue.
Kitu ninachoona madaktari wanakwepa nimuda wakutoa majibu ya vpimo sababu MRI inachukua muda
Jukumu la Daktari kuchagua kipimo gani linaongozwa na sababu nyingi mnoo. Kwa mfano.
1. Uwepo wa kipimo mahali alipo
2. Gharama za kifedha kwa mgonjwa
3. Muda wa kupata majibu.
4. Madhara/usumbufu ya kipimo kwa mgonjwa.
5. Uhakika wa kupata matokeo bora
6. Matarajio ya aina ya matokeo ambayo anayatarajia.
7. Ubobezi wa Daktari katika kutafsiri matokeo ya kipimo.

Mwisho tunarudi pale pale, hilo julumu la kuchagua kipimo linapaswa kufanya na Daktari tu, kwa 100%.
 
Back
Top Bottom