Engineermsuya
Member
- May 23, 2011
- 32
- 7
Hii ni kampuni ya ujenzi ya waChina hapa Tanzania
hii kampuni inaongoza kwa kutuhumiwa kuwatajirisha maofisa wa serikali ambao wanahusika kwa namna moja au nyingine kutoa tenda za ujenzi.
CRB nao inaonekana hawana uwezo wa kuwafanya kitu lakini kwa sababu kampuni za wazalendo hazipendwi na maofisa waserikali kwani hazitoi rushwa, sasa hivi wazalendo wengi wameamua eidha kuuza au kuhamia nchi za jirani huku Tanzania inaachiwa CRJE
Kama hamumini tazameni nani anapitisha tenda za hiii kampuni na hali zao za kimaisha zikoje. Pia kwa kuwa waChina bei zao ni za chini mno lakini ukweli ni kuwa wanaweka materials ambazo ni hafifu sana kwenye majengo lakini of course kwa sababu washawanuanua ma inspectors hakuna anayeweza kutia neno.
sisi kama wama taaluma hiii tumefika hatua ya kukata tamaa na juzi nilikutana na wanafunzi toka ardhi ambao ilibidi niwape hali halisi ilivyo huku nje ya shule.
Kama serikali ispoliangalia hili kwa undani basi muda si mrefu mtaona industry nzima inaanguka Tanzania wakati Rwanda na Kenya serikali zao zina linda local companies.
Mbona wapo wengi zaidi ya hapo mkuuu! na wanahonga mbaya! Bahati mbaya sana wafanyakazi wa hapo hawana mikataba!espl ma QS,China Railways Jiangchan Engineering - CRJE
China Construction Company -CHICO
China Geo Engineering Company - CEGC
CCCE
wachina kiboko .... tumekwisha
kweli kabisaa kwa mfano kuna jamaa yangu ananiambia udom inamiaka mitatu na nusu lakini majengo yake yana crake za kutisha,tiles zinacheza ukikanya majengo hayajakabidhiwa lakini yanahitaji repair na ni hao hao CRJE,they do not know if cheaper things comes with costs
RJE ndio waliopewa tenda na mashirika mbali mbali ya serikali kujenga University of Dodoma
sasa hivi nadhani mmeona jinsi yale majengo yanavyoleta matatizo ya nyufa.
In short hawa wachina ni mafisadi kuliko wahindi na wanatoa rushwa ndefu kuliko hata hao wahindi
makampuni ya wazalendo yanaishia kufanya kazi za bidding na kutolewa dola 100 za tenda dokoments lakini hawapewi kazi yoyote hata kama wame qualify steji zote
Ni kweli kabisa!! Wakina Mlacha na Weja wanajifanya hawayaoni