Critical Thinking inahitaji hapa...kati ya hawa ' Scholars ' wawili nani yupo sahihi kwa 100%

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,571
108,926
Scholar # 1.

Mtoto hapashwi kumpenda, kumsifia na kumshukuru sana Mama yake kwa Kumzaa kwakuwa hata Kiiumbaji ni jukumu la Mama kubeba Mimba na Kumtunza Tumboni mwake ndani ya hiyo miezi Kenda au pungufu yake.

Scholar # 2.

Mtoto anapashwa sana kumshukuru na tena kumpenda sana Baba yake kuliko Mama yake kwakuwa ni juhudi za Baba yake ndizo zimejitahidi hadi kuweza Kumneemesha Mama yake ndipo akapata Zawadi ya Mimba na Yeye kuzaliwa na kwamba Baba angeamua kuzitoa nje / besela basi asingezaliwa.

Nawasilisha.
 
Scholar # 1.

Mtoto hapashwi kumpenda, kumsifia na kumshukuru sana Mama yake kwa Kumzaa kwakuwa hata Kiiumbaji ni jukumu la Mama kubeba Mimba na Kumtunza Tumboni mwake ndani ya hiyo miezi Kenda au pungufu yake.

Scholar # 2.

Mtoto anapashwa sana kumshukuru na tena kumpenda sana Baba yake kuliko Mama yake kwakuwa ni juhudi za Baba yake ndizo zimejitahidi hadi kuweza Kumneemesha Mama yake ndipo akapata Zawadi ya Mimba na Yeye kuzaliwa na kwamba Baba angeamua kuzitoa nje / besela basi asingezaliwa.

Nawasilisha.
Hivi anapaswa au anapashwa?

Nadhani anapaswa.
 
Kuuthamini mchango wa mzazi yeyote ni matokeo ya ukaribu (kujali) wa mzazi huyo kwa mwanawe.
 
"Waheshimu Baba na mama yako, ili siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana Mungu wako"
Kutoka 20.

hii amri ya Mungu naona inatoa mwanga zaidi.


hapo wazazi wote wanaheshima, hata wakosee vipi kuwavumilia ndio dawa. kuheshimu mmoja ukadharau mwingine ni kosa.

wote hawapo sahihi.
 
Hapa ntawajua [HASHTAG]#teamMama[/HASHTAG] na [HASHTAG]#teamBaba[/HASHTAG].
I bet team mama ndo watakuwa wengi zaidi.
 
Mtoto hapaswi kumshukuru hata mzazi mmoja, kwakua hakuomba au kuhitaji kuletwa kwenye dunia hii isiyo na furaha zaidi ya vitisho vya kufa na kwenda motoni.
 
Hakuna aliesawa

Aliebeba mimba na alietoa juhudi za kumneemesha Mama na kupata zawadi ya ujauzito wote ni wa kushukuriwa
 
Ni kwa nini baba aheshimiwe zaidi? Hivi alichangia chromosomes 46 au 23 ? Kila mtu anatoa 23 ili zitimie 46 hivyo wako sawa katika pro - creation, heshima sawa ila uzidishe kwa mama kidogo kwa kubeba tumboni miezi sita na kutumia kiganja chake Kama ni choo cha kujisaidia
 
Ni kwa nini baba aheshimiwe zaidi? Hivi alichangia chromosomes 46 au 23 ? Kila mtu anatoa 23 ili zitimie 46 hivyo wako sawa katika pro - creation, heshima sawa ila uzidishe kwa mama kidogo kwa kubeba tumboni miezi sita na kutumia kiganja chake Kama ni choo cha kujisaidia
777777
 
Mkuu GENTAMYCINE mbona kimtazamo hawa akina scholar wapo sawa? Mfano..ukiwa Nairobi ukitaka kumwelekeza mzungu upande uliko mlima Kilimanjaro itakubidi uelekeze mkono wako upande wa kusini ila ukiwa manyara ukitaka kumwelekeza mzungu mwingine upande uliko mlima Kilimanjaro itakubidi uelekeze mkono wako upande wa kaskazini.
 
Utaskia hoo miezi tisa tumboni

Ila sisi wanaume miaka na miaka wapo kwenye pumb hawasemi shwain kabisa
 
Back
Top Bottom