Cristiano Ronaldo kama kulinganishwa alinganishwe na akina Lewandowski na Ibrahmovich

Obi Wan

JF-Expert Member
Aug 21, 2019
1,010
2,253
Cristiano Ronaldo moja ya mafanikio yake makubwa ni kufananishwa na Lionel Messi lakini kiuhalisia huyu Lionel Messi ni wa level za Pele na Maradona.

Huyu Ronaldo ni wa kulinganishwa na akina Lewandowski na Ibrahmovic ambao ndio level zake.

Kitu pekee team Cr7 walichobakiza ni kumuita Ronaldo goal machine. Hii hoja nayo muda sio mrefu Messi ataizima. Mwambieni Ronaldo ahakikishe mpaka Messi kastaafu na yeye astaafu ila akijiroga akastaafu kabla ya Messi ni suala la msimu mmoja tu atapitwa kwa magoli na ugoal machine utaishia hapo na jambo hili linamuuiza sana kichwa Ronaldo japo mwili umeshamkataa.

IMG_20221218_121238.jpg

Yote kwa yote all time top 3 G.O.A.Ts:
1. Lionel Messi
2. Pele
3. Maradona

NB:Huyu dogo video yake ilinichekesha sana
 
Cristiano Ronaldo moja ya mafanikio yake makubwa ni kufananishwa na Lionel Messi lakini kiuhalisia huyu Lionel Messi ni wa level za Pele na Maradona.

Huyu Ronaldo ni wa kulinganishwa na akina Lewandowski na Ibrahmovic ambao ndio level zake.

Kitu pekee team Cr7 walichobakiza ni kumuita Ronaldo goal machine. Hii hoja nayo muda sio mrefu Messi ataizima. Mwambieni Ronaldo ahakikishe mpaka Messi kastaafu na yeye astaafu ila akijiroga akastaafu kabla ya Messi ni suala la msimu mmoja tu atapitwa kwa magoli na ugoal machine utaishia hapo na jambo hili linamuuiza sana kichwa Ronaldo japo mwili umeshamkataa.

View attachment 2450562
Yote kwa yote all time top 3 G.O.A.Ts:
1. Lionel Messi
2. Pele
3. Maradona

NB:Huyu dogo video yake ilinichekesha sana
View attachment 2450574
Top score wa champions league history michuano Bora ya vilabu Duniani mchezaji mwenye Tuzo Tano za haki ta Ballon dor mchezaji anayeshirikilia rekodi ya kufunga Goli nyingi Kwa msimu mmoja kweny champions league mchezaji mwenye more than 40 hat trick mchezaji aliyechukua ufungaji Bora wa Champions leauge zaidi ya mara nne unakuja Kulinganisha na matakakataka gani wew bila shaka ni kichaa wa akili
 
Cristiano Ronaldo moja ya mafanikio yake makubwa ni kufananishwa na Lionel Messi lakini kiuhalisia huyu Lionel Messi ni wa level za Pele na Maradona.

Huyu Ronaldo ni wa kulinganishwa na akina Lewandowski na Ibrahmovic ambao ndio level zake.

Kitu pekee team Cr7 walichobakiza ni kumuita Ronaldo goal machine. Hii hoja nayo muda sio mrefu Messi ataizima. Mwambieni Ronaldo ahakikishe mpaka Messi kastaafu na yeye astaafu ila akijiroga akastaafu kabla ya Messi ni suala la msimu mmoja tu atapitwa kwa magoli na ugoal machine utaishia hapo na jambo hili linamuuiza sana kichwa Ronaldo japo mwili umeshamkataa.

View attachment 2450562
Yote kwa yote all time top 3 G.O.A.Ts:
1. Lionel Messi
2. Pele
3. Maradona

NB:Huyu dogo video yake ilinichekesha sana
View attachment 2450574
Katoto 😗😘
 
Top score wa champions league history michuano Bora ya vilabu Duniani mchezaji mwenye Tuzo Tano za haki ta Ballon dor mchezaji anayeshirikilia rekodi ya kufunga Goli nyingi Kwa msimu mmoja kweny champions league mchezaji mwenye more than 40 hat trick mchezaji aliyechukua ufungaji Bora wa Champions leauge zaidi ya mara nne unakuja Kulinganisha na matakakataka gani wew bila shaka ni kichaa wa akili
Cr7 afananishwe na akina Ibrahmovich na Lewandowski kumfananisha Messi na huyu CR7 ni kumvunjia heshima Messi
 
Back
Top Bottom