Mess sijamuona mpinzani wake katika sayari hii ya dunia
Let me say sorry for C7 kwa kuzaliwa enzi za Le masseiah,king of kings,Record breaker,The marvolous MESSI
Mess sijamuona mpinzani wake katika sayari hii ya dunia
Let me say sorry for C7 kwa kuzaliwa enzi za Le masseiah,king of kings,Record breaker,The marvolous MESSI
YAAN Kama CR 7 akibeba leo.... nitaamini kuwa hizi tuzo si za ubora ni za siasa.... Yaan watu hawapimi mafanikio yake ila wanataka achukue kwa sababu tu ajilinganishe na MESSI.....
Ribery akikosa nachana bendera ya FIFA kwa hasira zangu.... Maana kwa vigezo huyu jamaa anastahili mwaka huuu si Ronaldo wala MESSI.... tena bora hata MESSI arudie tena kuliko CR maana hana kombe lolote alilobeba...
Messi ni zaidi! Licha ya kukaa nje muda mrefu bila kucheza, bado takwimu zake ziko vizuri tu
Team Ronaldo
team Riberry...
If Messi didn't win then Ribery will win now way but not Ronaldo. He has nothing on hand for last season. Go messi go
messi ni zaidi! Licha ya kukaa nje muda mrefu bila kucheza, bado takwimu zake ziko vizuri tu
Mess sijamuona mpinzani wake katika sayari hii ya dunia
Let me say sorry for C7 kwa kuzaliwa enzi za Le masseiah,king of kings,Record breaker,The marvolous MESSI
Na akikosa utameza Panga au Fyekeo?
team frank! nipe muda mkuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu nipe nipeeeeeeeeeeeee!
tena butu kama sio dugi..