Crisis between Qatar and Saudi Arabia

Crisis between Qatar and Saudi Arabia

Mi mwenyewe ni mwislamu.Uovu uko kwenye utawala wa familia ya Al Saud.hyo nchi haikuwa ikiitwa Saudi Arabia,ilikuwa inaitwa Hijaz tokea enzi na enzi,hao familia ya saudi kwa msaada wa uingereza ndio wakafanya figisu na udhalimu wa hali yajuu na kufanikiwa kuitawala hyo nchi na kuibadilisha jina.Mahala patakatifu kwenye hyo inchi ni Makkah na Madina tu.
Mpaka leo utawala wa Saudia umekuwa ukishirikiana na nch za magharibu kudhoofisha na kukandamiza waarabu na waislamu wenzao wa ukanda huo.kuanzia Yemen,Qatar,Iraq,afghanistan na kwengineko
Kama we si shia,basi utakuwa huujui uislamu wala historia ya Saudia
 
Haujui uliandikalo, nina ndugu yangu kafundisha miaka 10 University of Madinah. Nafahamu ninachoandika.

Unajua ISIS Saudi Arabia ni miongoni mwa kundi Saudi analifadhili kwa pesa? Na hili lipo wazi kabisa. Unajua hao ISIS wamechinja Masheikh wa Kisunni wangapi Syria? Mpaka Sheikh Muhammad Al Yaqoub Sheikh wa Kissuni wal Jamaa, ambaye ni miongoni mwa Maulamaa wanaotegemewa ni ahlul bayt huyu Sheikh, unajua alisema nini kuhusu juu ya ISIS na utawala wa Saudi Arabia. Unajua wana wa zuoni wa Ummah wa Kiislam was Kisunni wanasemaje kuhusu utawala wa Saudi Arabia?

Unajua Grand Imam wa Azhar University alisemaje kuhusu utawala wa Saudiya? Muhammad bin Salman je, unamzunguziaje? Mauaji mangapi ameyafanya? Na Makkah anafika kama kawaida na ana sali vilevile.

Unazizungumziaje hizi habari?
Uongo unaoandika hapa,ni uthibitisho wa uduni wako wa elimu kuhusu uislamu na itikadi sahihi.
 
Kama we si shia,basi utakuwa huujui uislamu wala historia ya Saudia
How dare you make assumption about me? When i believe in tawheed Rrububiyah watawheed Ululiyah watawheed asmaa waswifaat. How dare you?

Unathubutuje kuniita Shia wakati nafuata Qur'an, Sunna na Ijmaa (ya wana wa zuoni) How dare you?

Oohh! Kwa vile nimesema kuhusu Utawala wa Saudi Arabia. Na katika waislam wanao busu miguu Utawala wa Saudi Arabia ni ninyi Salafi, mnaojiita majina meeengi. Salafi/Ansar sunnah/Wahhabi yote yenu.

Na kwa taarifa yako, Chuo cha Al Azhar, Chuo Kikuu kikongwe kabisa cha Kiislam na Duniani kwa ujumla na Chuo kinachoheshimika na kufahamika kwa Sunni Muslim world. The grand Imam of Azhar Sheikh Ahmed al Tayeb alishasema wazi, ninyi salafi/Wahhabi/ansarsunnah si Sunni. Mna wana wa zuoni wenu mnaowafuata. Na ninyi ni mbwa watiifu kwa Saudi.

Sikulazimishi uniamini. Lakini huu ndiyo ukweli ukubali uukatie ila huu ndiyo ukweli. Masheikh wenu wote hao wa Kisalafi wakubwa Duniani wanalipwa petro dollar kutoka Saudi. Kazi yenu ni kuikhtalifisha waislam waikhtalfiane wenyewe kwa wenyewe, na kujiona ninyi ni waislam safi. Wengine wote wamepotea ni watu wa bidaa.

Kwa kifupi ninyi si Sunni na mnajitahidi sana kujipendekeza kwa Sunni. Endeleni kufuata school of thought ya kwenu. Duniani kote makundi ya kigaidi ya Kiislam ni ya Kisalafi na ndiyo ideology inayofuatwa na kuenezwa Duniani na utawala wa Saudi.

Akisema Sheikh Alban amesema. Akisema sheikh wa mbali tofauti na alichosema Sheikh Alban huyo ni mtu wa bidaa. Ninyi endeleeni tu.
 
Unajuwa mfadhili mkubwa wa
1. Hisbullah
2. Jamaa
3. Huth
5. Kashogs death


Huyo ndo Iran sasa gaid mkuu wa ulimwengu

meca mji mtakatifu makafir wapo kweli pale?
Sasa si afadhali huyo hizbullah alipigana na Mzayuni kuzuia kuingia Lebanon badala ya jeshi la nchi kushindwa(kama sijakosea ni 1982)

Mwaka 2006 hizbullah alipigana na Mzayuni tena na wote ni mashahidi wa kilichotokea kwenye hiyo vita. Mpaka Amerika akapeleka azimio la kusimamisha mapigano ya silaha UN.

Na hizbullah anasaidiwa na Iran. Na si hivyo vikundi ulivyovitaja tu bali hata Hamas wanasaidiwa na Iran Mshia kupambana na Wazayuni wanaokaa kimabavu Palestina.

Tugeuze upande wa pili wa shilingi tuwaangalia hao salafi wa Utawala wa Saudia wamefanya nini: Palestina wanaonewa hawafanyi chochote. Hatuaminishi kwamba ni vita, hata kauli tu ya (iman dhaifu) kutoa neno chanya hakuna. 30 April 2018 Muhammad bin Salman(MBS) katika kongamano la viongozi New York aliwambia Wapelestina should take Trump deal or shut up. Unajua hayo maazimio ya Trump juu ya Palestina yalikuwaje? Mahali ambapo kuna Qibla cha kwanza cha Kiislam Masjid Al Aqsa.

Na vipi kuhusu urafiki wa Saudiya na Wazayuni? Wanafanya mazoezi ya kijeshi pamoja. Niambie ewe mnafiq: Naona unageuza na upande wa shilingi kuhusu mauaji ya Jamal Ghashugi. Mfalme Salman alisema Saudiya ni nchi inayoongozwa kwa sharia za kislam. Wote waliyofanya mauji ya Ghashugi watachukuliwa hatua pasipo kuangalia nafasi zao ni zipi katika nchi ya Saudi Arabia. Niambie sasa, Dunia nzima inajua muuaji ni MBS. Wamefanya nini Utawala wa Saudiya unaojinasibu unafuata sharia ya Kiislam?

Ndiyo aina ya viongozi mnao watetea wewe na mwenzako Babu na Mjukuu. Enyi wanafiq.

Nani asiyejua Amerika anayoyafanya kwenye huu ulimwengu. Halafu nchi inayojiita inatawala kisheria ya Kiislam inalindwa na dhalimu Amerika.

Halafu anakuja babu na mjukuu ananiita Mimi ni mshia na siijui vyema itikadi. Wewe Babu na Mjukuu pamoja na huyu mwenzako ni wanafiq. Muugopeni Mungu acheni unafiki ninyi.

Saudis Arabia anadiriki mpaka kuwachangia magaidi wa ISIS nchini Syria. Acheni Unafiq.
 
Makkah, ni mahala alipozaliwa Mtume, ndipo pahala paliposhika nguzo 2 za Uislam katika nguzo 5. Nguzo ya sala, ni lazima uelekee Makkah ndipo kilipo Qibla kwa maana Al' kaaba. Nguzo ya pili imeshikilia nguzo ya hija.

Licha ya hivyo, ni mahala alipozaliwa Mtume, na ni mahala penye alama nyingi sana za Uislam.

Madinah, ni mahala palipompokea Mtume alivyotoka Makkah. Mahala ambapo kuna Msikiti wa Mtume. Mahala ambapo Mtume amezikwa. Napo pana alama nyingi sana za Uislam.

Licha ya hizo alama hizo sehemu ndipo ziliposhuka aya za Qur'an na Qur'an kwa ujumla. Sehemu zote hizo mbili si hati miliki ya Ukoo au nchi, ni hati miliki kwa ummah wa Kiislam.

Sehemu zote hizo mbili imma ziwe kwa athari chanya ama athari hasi ni lazima zitaathiri ummah wa Kiislam na Dunia kwa ujumla.

Zinakuja tawala zina hodhi hayo maeneo, zinakwenda kinyume na kanuni na nidhamu za Uislam, unafikiri matokeo yake ni yapi? Ideology za Ugaidi wa haya makundi ya Kigaidi zinazalishwa na Saudi Arabia ambapo ndiyo wamehodhi hayo maeneo. Nchi zinazofadhili magaidi Saudi Arabia imo. Nchi zinazofanya unafiki katika ghuba ya Kiarabu ili wenzake waporomoshwe Saudi Arabia imo. Nchi zinazofanya mauaji mpaka yanatikisa Dunia nzima Saudi Arabia imo.

Unajua athari zake kwa umma wa Kiislam na Dunia kwa ujumla? Athari zake zinaturejelea sisi waislam. Kwa sababu ya upuuzi wao tunatukanwa waislam, basi ingelikuwa sisi ila anatukanwa mpaka Mtume. Waislam wanauliwa wanachukiwa kwa sababu ya ideology yao ya kigaidi wanaipandikiza katika Dini inaonekana ni sehemu ya Dini. Inafika pahala wengineo waliyokuwa tofauti na Dini yetu wanatuchukia pasipo kujua walifanyalo.

Nafahamu wapo mastermind wa hayo makundi ya Kigaidi mbali na Saudi Arabia. Lakini karibu na Saudi Arabia wao ni miongoni mwa wanaofadhili hayo makundi.

Hizo ni miongoni mwa athari waislam wanazokumbana nazo na sababu ni hayo maeneo ya Makkah na Madinah waliyoyahodhi. Waziache hizo sehemu waislam watazihodhi wenyewe wao watawale maeneo mengine ya Saudi Arabia, waendelee kufanya upuuzi wao uone kama lawama za kipuuzi wazifanyazo kama zitarudi kwa ummah wa Kiislam hapa Duniani.
Mimi sio Muislam lakini We jamaa uko deep sana,big up
 
Ukoo wa Saudi waliitwa ardhi ya Makkah tul Mukarramah na madinatul munawwarah kwa msaada wa Waingereza, kwa vita yaani. Sijawahi kuona nchi ambayo inajiita ya Kiislam lakini utajiri wote wa nchi umetekwa na ukoo mmoja tu, Ukoo wa Saudi.

Ukoo wao una utajiri mkubwa sana na zote hizo ni kuteka utajiri wa nchi yao. Na kama Muslim wanafikiri hawa Wafalme ni Custodians of the holy Kaaba and Masjidin' nabaway, hiki ni kituko. Wanaawacha ndugu zao wasyria, Yemen na makundi ya wakimbizi wengine. Hata kutoa msaada huwasikii. Ajabu bin Salman anaenda kununua mchoro wa Da vinci kwa $450 million. Hiyo haitoshi, wamelipa uraia sanamu la Sophie. Hata utu hawana(??!!) Na sijawahi kuona familia/ukoo ambao wanasema ni tawala ya Kiislam ambao wanashusha hadhi ya Mtume Muhammad kama Ukoo wa Saudi.

Sheikh Sudais miongoni mwa Masheikh niliyokuwa nawakubali. Anakuja Masjid Geneva anatoa fat'wa ambayo ina' legalising The killing of people in Yemen. Anasema Amerika ni peacekeeper. Anatetea na Saudi Arabia mauaji anayoyafanya. Halafu anajifanya anazungumzia amani, Sheikh Sudais ni Munafiq. Wote wakifika kwa Muhammad bin Salman wanambusu miguu.

Ni muda umefika na utafika inshaallah, the true Muslim, the true ahlul Sunni wal Jamaa wa madh'heb wa maim wa 4(Imam Malik, Imam Hanbal, Imam Shafii & Imam Abuu Hanifa) watawaondoa tu Makkah na Madinah na zitabaki kwa waislam wenyewe. Wao waongoze maeneo mengine ya Saudi Arabia na unafiq wao na kwa waislam wengine wanao busu miguu yao.
MM KUNA WATU NIKIWAHADITHIA HIVYO KUWAELEZA KUWA SAUDIA WENGI SANA MABABU ZAO HUKO NYUMA WALIKUA NI MAYAHUDI WA KIARABU WANAKUA WANANIPINGA HUKU KITAA NA KUNIAMBIA NAKUFURU, ILA UKWELI KILA SIKU ZINAVYOKWENDA UTAJULIKANA TU
 
MPAKA SAIVI WAMESHAUWA MAELFU YA WATU YEMEN, UNAAMBIWA WANALIPA MAJESHI KUTOKA NCHI MBALI MBALI HELA NYINGI SANA WAENDE WAKAPIGANE YEMEN, KUNA MAELFU YA MAJESHI YA SUDANI WAMETEKWA NA KUUWAWA, ZIKO VIDEO ZINAWAONYESHA WAMECHINJWA MAJESHI YA SUDANI NCHINI YEMEN KAMA KUKU, UTAONA SAUDIA ANAVYOULISHA WAISLAM KWA WAISLAM.
Makkah, ni mahala alipozaliwa Mtume, ndipo pahala paliposhika nguzo 2 za Uislam katika nguzo 5. Nguzo ya sala, ni lazima uelekee Makkah ndipo kilipo Qibla kwa maana Al' kaaba. Nguzo ya pili imeshikilia nguzo ya hija.

Licha ya hivyo, ni mahala alipozaliwa Mtume, na ni mahala penye alama nyingi sana za Uislam.

Madinah, ni mahala palipompokea Mtume alivyotoka Makkah. Mahala ambapo kuna Msikiti wa Mtume. Mahala ambapo Mtume amezikwa. Napo pana alama nyingi sana za Uislam.

Licha ya hizo alama hizo sehemu ndipo ziliposhuka aya za Qur'an na Qur'an kwa ujumla. Sehemu zote hizo mbili si hati miliki ya Ukoo au nchi, ni hati miliki kwa ummah wa Kiislam.

Sehemu zote hizo mbili imma ziwe kwa athari chanya ama athari hasi ni lazima zitaathiri ummah wa Kiislam na Dunia kwa ujumla.

Zinakuja tawala zina hodhi hayo maeneo, zinakwenda kinyume na kanuni na nidhamu za Uislam, unafikiri matokeo yake ni yapi? Ideology za Ugaidi wa haya makundi ya Kigaidi zinazalishwa na Saudi Arabia ambapo ndiyo wamehodhi hayo maeneo. Nchi zinazofadhili magaidi Saudi Arabia imo. Nchi zinazofanya unafiki katika ghuba ya Kiarabu ili wenzake waporomoshwe Saudi Arabia imo. Nchi zinazofanya mauaji mpaka yanatikisa Dunia nzima Saudi Arabia imo.

Unajua athari zake kwa umma wa Kiislam na Dunia kwa ujumla? Athari zake zinaturejelea sisi waislam. Kwa sababu ya upuuzi wao tunatukanwa waislam, basi ingelikuwa sisi ila anatukanwa mpaka Mtume. Waislam wanauliwa wanachukiwa kwa sababu ya ideology yao ya kigaidi wanaipandikiza katika Dini inaonekana ni sehemu ya Dini. Inafika pahala wengineo waliyokuwa tofauti na Dini yetu wanatuchukia pasipo kujua walifanyalo.

Nafahamu wapo mastermind wa hayo makundi ya Kigaidi mbali na Saudi Arabia. Lakini karibu na Saudi Arabia wao ni miongoni mwa wanaofadhili hayo makundi.

Hizo ni miongoni mwa athari waislam wanazokumbana nazo na sababu ni hayo maeneo ya Makkah na Madinah waliyoyahodhi. Waziache hizo sehemu waislam watazihodhi wenyewe wao watawale maeneo mengine ya Saudi Arabia, waendelee kufanya upuuzi wao uone kama lawama za kipuuzi wazifanyazo kama zitarudi kwa ummah wa Kiislam hapa Duniani.
 
MKUU UNAPIGANISHA KELELE NA WATU AMBAO HATA HAWAKUSOMA ?? LEO UKIPINGA SAUDIA WATAKUITA SHIA, LAKINI UMEANDIKA UKWELI MTUPU NA ILO JAMBO LIKO WAZI ALITAKI ATA UTAFUTE KWENYE INTERNET, HONGERA SANA MKUU INGAWAJE INAUMA
How dare you make assumption about me? When i believe in tawheed Rrububiyah watawheed Ululiyah watawheed asmaa waswifaat. How dare you?

Unathubutuje kuniita Shia wakati nafuata Qur'an, Sunna na Ijmaa (ya wana wa zuoni) How dare you?

Oohh! Kwa vile nimesema kuhusu Utawala wa Saudi Arabia. Na katika waislam wanao busu miguu Utawala wa Saudi Arabia ni ninyi Salafi, mnaojiita majina meeengi. Salafi/Ansar sunnah/Wahhabi yote yenu.

Na kwa taarifa yako, Chuo cha Al Azhar, Chuo Kikuu kikongwe kabisa cha Kiislam na Duniani kwa ujumla na Chuo kinachoheshimika na kufahamika kwa Sunni Muslim world. The grand Imam of Azhar Sheikh Ahmed al Tayeb alishasema wazi, ninyi salafi/Wahhabi/ansarsunnah si Sunni. Mna wana wa zuoni wenu mnaowafuata. Na ninyi ni mbwa watiifu kwa Saudi.

Sikulazimishi uniamini. Lakini huu ndiyo ukweli ukubali uukatie ila huu ndiyo ukweli. Masheikh wenu wote hao wa Kisalafi wakubwa Duniani wanalipwa petro dollar kutoka Saudi. Kazi yenu ni kuikhtalifisha waislam waikhtalfiane wenyewe kwa wenyewe, na kujiona ninyi ni waislam safi. Wengine wote wamepotea ni watu wa bidaa.

Kwa kifupi ninyi si Sunni na mnajitahidi sana kujipendekeza kwa Sunni. Endeleni kufuata school of thought ya kwenu. Duniani kote makundi ya kigaidi ya Kiislam ni ya Kisalafi na ndiyo ideology inayofuatwa na kuenezwa Duniani na utawala wa Saudi.

Akisema Sheikh Alban amesema. Akisema sheikh wa mbali tofauti na alichosema Sheikh Alban huyo ni mtu wa bidaa. Ninyi endeleeni tu.
 
DUH, UMECHANA MPAKA BASI MKUU, UKWELI UNAUMA SANA, MM NAKUUNGA MKONO 100%% , BASI YATATIKEA MAPIMBI YATAKUPINGA
Sasa si afadhali huyo hizbullah alipigana na Mzayuni kuzuia kuingia Lebanon badala ya jeshi la nchi kushindwa(kama sijakosea ni 1982)

Mwaka 2006 hizbullah alipigana na Mzayuni tena na wote ni mashahidi wa kilichotokea kwenye hiyo vita. Mpaka Amerika akapeleka azimio la kusimamisha mapigano ya silaha UN.

Na hizbullah anasaidiwa na Iran. Na si hivyo vikundi ulivyovitaja tu bali hata Hamas wanasaidiwa na Iran Mshia kupambana na Wazayuni wanaokaa kimabavu Palestina.

Tugeuze upande wa pili wa shilingi tuwaangalia hao salafi wa Utawala wa Saudia wamefanya nini: Palestina wanaonewa hawafanyi chochote. Hatuaminishi kwamba ni vita, hata kauli tu ya (iman dhaifu) kutoa neno chanya hakuna. 30 April 2018 Muhammad bin Salman(MBS) katika kongamano la viongozi New York aliwambia Wapelestina should take Trump deal or shut up. Unajua hayo maazimio ya Trump juu ya Palestina yalikuwaje? Mahali ambapo kuna Qibla cha kwanza cha Kiislam Masjid Al Aqsa.

Na vipi kuhusu urafiki wa Saudiya na Wazayuni? Wanafanya mazoezi ya kijeshi pamoja. Niambie ewe mnafiq: Naona unageuza na upande wa shilingi kuhusu mauaji ya Jamal Ghashugi. Mfalme Salman alisema Saudiya ni nchi inayoongozwa kwa sharia za kislam. Wote waliyofanya mauji ya Ghashugi watachukuliwa hatua pasipo kuangalia nafasi zao ni zipi katika nchi ya Saudi Arabia. Niambie sasa, Dunia nzima inajua muuaji ni MBS. Wamefanya nini Utawala wa Saudiya unaojinasibu unafuata sharia ya Kiislam?

Ndiyo aina ya viongozi mnao watetea wewe na mwenzako Babu na Mjukuu. Enyi wanafiq.

Nani asiyejua Amerika anayoyafanya kwenye huu ulimwengu. Halafu nchi inayojiita inatawala kisheria ya Kiislam inalindwa na dhalimu Amerika.

Halafu anakuja babu na mjukuu ananiita Mimi ni mshia na siijui vyema itikadi. Wewe Babu na Mjukuu pamoja na huyu mwenzako ni wanafiq. Muugopeni Mungu acheni unafiki ninyi.

Saudis Arabia anadiriki mpaka kuwachangia magaidi wa ISIS nchini Syria. Acheni Unafiq.
 
Haujui uliandikalo, nina ndugu yangu kafundisha miaka 10 University of Madinah. Nafahamu ninachoandika.

Unajua ISIS Saudi Arabia ni miongoni mwa kundi Saudi analifadhili kwa pesa? Na hili lipo wazi kabisa. Unajua hao ISIS wamechinja Masheikh wa Kisunni wangapi Syria? Mpaka Sheikh Muhammad Al Yaqoub Sheikh wa Kissuni wal Jamaa, ambaye ni miongoni mwa Maulamaa wanaotegemewa ni ahlul bayt huyu Sheikh, unajua alisema nini kuhusu juu ya ISIS na utawala wa Saudi Arabia. Unajua wana wa zuoni wa Ummah wa Kiislam was Kisunni wanasemaje kuhusu utawala wa Saudi Arabia?

Unajua Grand Imam wa Azhar University alisemaje kuhusu utawala wa Saudiya? Muhammad bin Salman je, unamzunguziaje? Mauaji mangapi ameyafanya? Na Makkah anafika kama kawaida na ana sali vilevile.

Unazizungumziaje hizi habari?

Sema walichosema,sio kuuliza
 
How dare you make assumption about me? When i believe in tawheed Rrububiyah watawheed Ululiyah watawheed asmaa waswifaat. How dare you?

Unathubutuje kuniita Shia wakati nafuata Qur'an, Sunna na Ijmaa (ya wana wa zuoni) How dare you?

Oohh! Kwa vile nimesema kuhusu Utawala wa Saudi Arabia. Na katika waislam wanao busu miguu Utawala wa Saudi Arabia ni ninyi Salafi, mnaojiita majina meeengi. Salafi/Ansar sunnah/Wahhabi yote yenu.

Na kwa taarifa yako, Chuo cha Al Azhar, Chuo Kikuu kikongwe kabisa cha Kiislam na Duniani kwa ujumla na Chuo kinachoheshimika na kufahamika kwa Sunni Muslim world. The grand Imam of Azhar Sheikh Ahmed al Tayeb alishasema wazi, ninyi salafi/Wahhabi/ansarsunnah si Sunni. Mna wana wa zuoni wenu mnaowafuata. Na ninyi ni mbwa watiifu kwa Saudi.

Sikulazimishi uniamini. Lakini huu ndiyo ukweli ukubali uukatie ila huu ndiyo ukweli. Masheikh wenu wote hao wa Kisalafi wakubwa Duniani wanalipwa petro dollar kutoka Saudi. Kazi yenu ni kuikhtalifisha waislam waikhtalfiane wenyewe kwa wenyewe, na kujiona ninyi ni waislam safi. Wengine wote wamepotea ni watu wa bidaa.

Kwa kifupi ninyi si Sunni na mnajitahidi sana kujipendekeza kwa Sunni. Endeleni kufuata school of thought ya kwenu. Duniani kote makundi ya kigaidi ya Kiislam ni ya Kisalafi na ndiyo ideology inayofuatwa na kuenezwa Duniani na utawala wa Saudi.

Akisema Sheikh Alban amesema. Akisema sheikh wa mbali tofauti na alichosema Sheikh Alban huyo ni mtu wa bidaa. Ninyi endeleeni tu.

Kaa chini uisome dini.upo mtupu kabisaa.
Kisha angalia wapi utachukua dini
 
Mkuu hammaz shukran kwa kujitolea kuwaelimisha hawa wasiojua kuhusu Saudia,Uislamu ma siasa za mashariki ya katu,pia ungewajuza kuhusu uhusiano wa familia ya Al saud na yule mzandiki wa kuitwa Al wahabi wa kutoka mji ule ambao mtume aliutabiria kuwa itatakea fitna kutoka mji huo.Mara nyingi ukweli mpya huwa unakuwa mgumu sana kuaminika kwa yule aliyemezeshwa uongo kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom