Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,964
- 49,481
Hivyo wajisalimishe kwa dikteta Put-in sio ?Hapo watasababisha Ukraine iendelee kuharibiwa zaidi.nawaonea huruma waukraine wanaumia Sana serikali Yao haiwajali kwa sababu wanajua hawashindi wanajitutumua Tu.