NKobi 1972
Member
- Jan 25, 2021
- 58
- 40
Usijifiche rafikiChama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.
Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm
Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?
My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
Shule ameenda dingi yako siyo kila mtu hapa ameenda shule kama weweJadili hoja kama umeenda shule.
Unawezà kuzungumzia kidogo kuhusu Chanjo? Watoto kukaa chini, tozo, kupanda kiholela kwa bidhaa, ukosefu wa huduma bora za afya n.k? Au wewe akili yako uko tuned na Chadema tu?Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.
Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm
Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?
My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
Kumtetea Mbowe inabidi uwe maiti yenyeweKutetea CCM inabidi uwe na akili ya maiti.
akili zao zilishafukunyuliwa kitambo watakuelewa mkuu!Tundu Lisu amewapotosha mengi wakaingia kichwakichwa, hawakutakiwa kuja na move hizo walizo nazo, Tundu lisu akiwa ulaya anataka wenzie wafanya violence na kulazimisha mambo wakati yeye kakimbia nchi, na wao wamemsikiliza. too bad. kwa Samia alivyoanza alikuja vizuri na alitaka mshikamano wao wakamdharau na kutaka kumpelekesha. nashauri mkae chini mfikirie njia bora ni ipi mwende kwa serikali muombe muafaka na kutubu ila mkifikiri kushindana na serikali mtashinda mnajidanganya. wamarekani mnaowaomba msaada hata kule kwao wanapiga watu risasi, askari wao ni wakatili kuliko hata askari wetu, kule hawapigi virungu kama hapa ukifanya mchezo wanapiga risasi ya moto na hakuna anayewaingilia. na wanaouawa zaidi kule ni blacks kama sisi na ninyi mnategemea mzungu aje hapa awapende blacks? hapa wamefuata maslahi yao binafsi ambayo ninyi hamtayajua hadi baadayeee na ni maslahi hayohayo wanatafuta kwa kupachika watu kama kina Tundu ili wakiwa marais waje wayapate, sasa akiwepo mtu wa ccm anayewapatia ninyi mnachinjiwa baharini kama alivyofanywa savimbi tu. fungukeni.
hauelewi nililokuambia kwasababu umelewa upupu wa maigizo, haujielewi ila kuna siku utakuja kuelewa. Never has violence produced results in this world, waliofanikiwa wachache sana. nakushauri jifunzeni kwa ghandi.akili zao zilishafukunyuliwa kitambo watakuelewa mkuu!
Ashatoka ila ameacha shombo na masalia kadhaa.Lowasa bado yupo CHADEMA?
usidanganyike hakuna wakati wowote ambao chadema wamepata political credibility kama huu toka ndani na nje ya nchi kwa taarifa yako,chadema inakwenda kwa kasi na polisi watashindwa kuuzima kama moto wa kariakooChama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.
Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm
Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?
My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
so what you mean ni kwamba sasahivi (kipindi cha mama) ndio mmepata political credibility ndani na nje ya nchi? hizo ndizo dharau sasa zinazowaponza. what if ushahidi ukija kwamba kweli mlipanga kulipua vituo vya mafuta mwaka jana? na wazungu wakauona, badala ya kuomba poo mnaleta jeuri, shauri yenu.usidanganyike hakuna wakati wowote ambao chadema wamepata political credibility kama huu toka ndani na nje ya nchi kwa taarifa yako,chadema inakwenda kwa kasi na polisi watashindwa kuuzima kama moto wa kariakoo
mnadanganywa na wanaokula kupitia migongo yenu. ni kweli kuna maovu wanayafanya, sio malaika hao na hakuna chochote wanachopigania zaidi ya matumbo yao.Mbona sisi huku uraiana akili tunazo na tunaelewa jamaa wanapewa kesi za kubumba .
Hao wanaokataa katiba mpya bia sababu za msingi wanakula kupitia migongo ya nani?mnadanganywa na wanaokula kupitia migongo yenu. ni kweli kuna maovu wanayafanya, sio malaika hao na hakuna chochote wanachopigania zaidi ya matumbo yao.
Uzoefu umetuonesha kuwa katika nchi za dunia ya tatu, Chama chochote cha Siasa kikishindwa katika chaguzi nne mfululizo kama hakuna uongozi madhubuti ni rahisi sana kugeuka chama chenye kuzalisha machafuko.Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.
Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm
Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?
My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
Ongeza sauti Kamanda mchovu,hujasikika hujaeleweka.Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.
Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm
Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?
My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
Unanichukia bure.Ongeza sauti Kamanda mchovu,hujasikika hujaeleweka.
Video: Polisi wavunja ofisi ya CHADEMA mkoani KigomaChama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.
Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm
Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?
My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
Kwanini huna akili?Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.
Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm
Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?
My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.