johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Nakumbuka mwaka 1992 wakati Freeman anafanya scouting ya bavicha kigezo Kikuu Ilikuwa kupata vijana wanaojitambua, Wajanja na wenye fikra za Maendeleo
Zoezi likaanzia vyuo vya mjini kabisa CBE, DIT na IDM na kule mikoani yalilengwa maeneo yenye vijana wajanja sadaka Maendeleo mfano Iringa ililengwa Miyomboni na mashine 3 alipopatikana Mwamba Gervas Kalolo rip
Na kiukweli kabisa Bavicha ile Ilikuwa " imeiva vijana wenye weledi" tofauti kabisa na hii ya akina Retired
Na hata safu ya Wazee wa Chadema ile tuliwaita " Wazee Ulaya" kwa sababu Ilikuwa iliaminiwa Mzee katoka kidogo basi ujue yuko London, Paris nk
Kiukweli CCM kilikuwa chama cha Wakulima kabisa wa Jembe la Mkono ndio sababu tuliwaita " Wazalendo"
Enzi zile Born Town ukimuita Mzalendo ilikuwa mnagombana kabisa
Kwa sasa mambo yamebadilika kabisa Chadema imesheheni Walugaluga wakati CCM ndio kimekuwa Chama Cha Wajanja hata kama wanaitwa " Wapiga Dili"
Mungu ni mwema wakati wote!
Zoezi likaanzia vyuo vya mjini kabisa CBE, DIT na IDM na kule mikoani yalilengwa maeneo yenye vijana wajanja sadaka Maendeleo mfano Iringa ililengwa Miyomboni na mashine 3 alipopatikana Mwamba Gervas Kalolo rip
Na kiukweli kabisa Bavicha ile Ilikuwa " imeiva vijana wenye weledi" tofauti kabisa na hii ya akina Retired
Na hata safu ya Wazee wa Chadema ile tuliwaita " Wazee Ulaya" kwa sababu Ilikuwa iliaminiwa Mzee katoka kidogo basi ujue yuko London, Paris nk
Kiukweli CCM kilikuwa chama cha Wakulima kabisa wa Jembe la Mkono ndio sababu tuliwaita " Wazalendo"
Enzi zile Born Town ukimuita Mzalendo ilikuwa mnagombana kabisa
Kwa sasa mambo yamebadilika kabisa Chadema imesheheni Walugaluga wakati CCM ndio kimekuwa Chama Cha Wajanja hata kama wanaitwa " Wapiga Dili"
Mungu ni mwema wakati wote!