hsnaturalfertility
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 918
- 1,946
Kuanzia tarehe 8 September bank hii ilipoanza kubadilisha system yake ya zamani mpaka leo 30 September hali ya wateja ni tete.
Miamala iliyotakiwa kuingia au kutoka kwenye account haijulikani ilipo.
Hakuna msaada wowote unaotolewa kwa wateja zaidi ya kuambiwa subiri, bila kupewa tarehe ya hitimisho.
Hakuna wa kumwambia chochote CRDB maana ni untouchable 😃. Benk kuu ipo kimya na hata mamlaka za juu zaidi zipo kimya.
Kwao vipesa vya wananchi wa kawaida haviwasumbui, hata mkisema mnafunga account.
Wanatetemekea wateja wenye mi deposit mikubwa mikubwa.
Mungu atusaidie.
Miamala iliyotakiwa kuingia au kutoka kwenye account haijulikani ilipo.
Hakuna msaada wowote unaotolewa kwa wateja zaidi ya kuambiwa subiri, bila kupewa tarehe ya hitimisho.
Hakuna wa kumwambia chochote CRDB maana ni untouchable 😃. Benk kuu ipo kimya na hata mamlaka za juu zaidi zipo kimya.
Kwao vipesa vya wananchi wa kawaida haviwasumbui, hata mkisema mnafunga account.
Wanatetemekea wateja wenye mi deposit mikubwa mikubwa.
Mungu atusaidie.