MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
- Thread starter
- #41
Jichunguze huenda mkeo kakuzidi maujanja. Kikulacho ki nguoni mwako. mie nafaidi mpesa ya mume wangu najitumia pesa kisha nadelete mesage. ukifanikisha uchunguzi tujuze
Wee sio wote wameoa machangudoa tena koma kumtaja mke wangu humu kama una tabia hizo sio wanawake wote. mke wangu ni mstaarabu ameenda shule na ni highly paid hawezi ku temper na huu ujinga hapa. Kadi zetu wote huwa zina hela na wala hazifichwi na nikitaka nachukua kwake na akitaka huchukua kwangu ndivyo tunavyoishi miaka yote iweje Nov 2013 aanze wizi.
May be wewe ndo wale wale ambao mnatuibia huko CRDB mnatoa comments za kimipasho wakati sisi tunajadili serious issue.