Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Kuna tetesi miongoni mwa Bankers kuwa CRDB itakabiliwa na wakati mgumu sana wakati wowote sasa.
Hii ni baada ya washirika wake wa DANIDA na wale kutoka Canada kujitoa kutokana na kutokubaliana na uongozi wa Benki hiyo juu ya ushiriki wake katika sakata la EPA.
Washirika hao toka nje walijaribu bila mafanikio kumtosa Dr Kimei na hatimae wametaka na kufanikiwa kurudishiwa hisa zao.
Inaelekea CRDB inaenda ile barabara ya kifoni iliyoikumba NBC ya zamani.
Wana JF mpo hapo?
Hii ni baada ya washirika wake wa DANIDA na wale kutoka Canada kujitoa kutokana na kutokubaliana na uongozi wa Benki hiyo juu ya ushiriki wake katika sakata la EPA.
Washirika hao toka nje walijaribu bila mafanikio kumtosa Dr Kimei na hatimae wametaka na kufanikiwa kurudishiwa hisa zao.
Inaelekea CRDB inaenda ile barabara ya kifoni iliyoikumba NBC ya zamani.
Wana JF mpo hapo?